Maandalizi ya kipigo cha goli 5 yalifanyika kwa miaka 2

Maandalizi ya kipigo cha goli 5 yalifanyika kwa miaka 2

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Kuna mengi nimekuwa naelezea humu ndani kwa muda mrefu ila nadhani nilikuwa sieleweki ila nadhani sasa mtanielewa. Yanga haiwezi kumfunga Simba goli 5 katika mazingira yoyote ya kawaida na pamoja na mafanikio yoote ya Yanga, moja ya kitu ambacho walikuwa wanatamani kukifanikisha ili kweli wadhihirishe ubora wao kwa Simba ni kuitandika goli za kutosha. Hili jambo lilihitaji mkakati wa kutosha.

Maandalizi yaliyokuwa yanafanyika yalijumuisha kukidhoofisha kikosi cha Simba kwa kufanya usajili mbovu kwa misimu miwili. Usiniambie yule aliyewasajili mbilikimo zaidi ya 3 kwa mkupuo ndani ya dirisha moja la usajili alikuwa na nia njema na Simba. Halafu wakaletwa kina Sawadogo. Huku ndani ya kikosi una yule mchezaji ambaye aliletwa kwa mkakati maalumu, kila akigusa mpira 90% anaupoteza au anaanguka ila namba hakosi na kutolewa hatolewi, anachekacheka tu uwanjani. Halafu ikaja kumpiga pini Phiri baada ya majeraha ili timu ipate changamoto kupata ushindi lakini zaidi wachezaji wengine wacheze kwa tahadhari wakijua wakiumia tu, hawapati namba tena na hiyo ikashusha kabisa morali ya timu. Pia wakahakikisha wanaocheza kila siku ni wachezaji wale wale 13, mwanzo kisingizio kilikuwa walioko benchi hawana uwezo. Ukafanyika usajili mpya wachezaji zaidi ya 10, wakajazwa mawinga huku mahitaji ya ulinzi na kiungo hayakuzingatiwa, usajili wa kipa wote tuliona ulivyofanyika na katika wote waliosajiliwa wanaopewa nafasi kucheza ni 2 tu. Usiniambie aliyesimamia zoezi hili la usajili alikuwa na nia njema na Simba.

Kuhakikisha wachezaji wanapoteza kabisa fitness na utimamu wa kimwili, wakahakikisha kuna benchi dhaifu la kiufundi hasa kocha wa fitness ili siku ya kipigo wote tuseme kweli wachezaji hawana utimamu. Wachezaji hawafanyi mazoezi ya kueleweka, wanakimbia kimbia tu kama wanafunzi wa shule ya msingi na mizaha mingi mazoezini. Hii baada ya muda matokeo yake ndiyo haya tunayoyaona sasa.

Nilipokuwa nasema nakaa pembeni kwenye mambo ya mpira kulinda hisia zangu nilikuwa nayaona maandalizi haya yanakaribia kuzaa matunda. Kipigo cha goli 5 wala hakijanishtua wala kunishangaza.

Matatizo ya SImba hayataisha kirahisi kama mnavyodhani maana waliyoyaleta walidhamiria.
 
Kuna mengi nimekuwa naelezea humu ndani kwa muda mrefu ila nadhani nilikuwa sieleweki ila nadhani sasa mtanielewa. Yanga haiwezi kumfunga Simba goli 5 katika mazingira yoyote ya kawaida na pamoja na mafanikio yoote ya Yanga, moja ya kitu ambacho walikuwa wanatamani kukifanikisha ili kweli wadhihirishe ubora wao kwa Simba ni kuitandika goli za kutosha. Hili jambo lilihitaji mkakati wa kutosha.

Maandalizi yaliyokuwa yanafanyika yalijumuisha kukidhoofisha kikosi cha Simba kwa kufanya usajili mbovu kwa misimu miwili. Usiniambie yule aliyewasajili mbilikimo zaidi ya 3 kwa mkupuo ndani ya dirisha moja la usajili alikuwa na nia njema na Simba. Halafu wakaletwa kina Sawadogo. Huku ndani ya kikosi una yule mchezaji ambaye aliletwa kwa mkakati maalumu, kila akigusa mpira 90% anaupoteza au anaanguka ila namba hakosi na kutolewa hatolewi, anachekacheka tu uwanjani. Halafu ikaja kumpiga pini Phiri baada ya majeraha ili timu ipate changamoto kupata ushindi lakini zaidi wachezaji wengine wacheze kwa tahadhari wakijua wakiumia tu, hawapati namba tena na hiyo ikashusha kabisa morali ya timu. Pia wakahakikisha wanaocheza kila siku ni wachezaji wale wale 13, mwanzo kisingizio kilikuwa walioko benchi hawana uwezo. Ukafanyika usajili mpya wachezaji zaidi ya 10, wakajazwa mawinga huku mahitaji ya ulinzi na kiungo hayakuzingatiwa, usajili wa kipa wote tuliona ulivyofanyika na katika wote waliosajiliwa wanaopewa nafasi kucheza ni 2 tu. Usiniambie aliyesimamia zoezi hili la usajili alikuwa na nia njema na Simba.

Kuhakikisha wachezaji wanapoteza kabisa fitness na utimamu wa kimwili, wakahakikisha kuna benchi dhaifu la kiufundi hasa kocha wa fitness ili siku ya kipigo wote tuseme kweli wachezaji hawana utimamu. Wachezaji hawafanyi mazoezi ya kueleweka, wanakimbia kimbia tu kama wanafunzi wa shule ya msingi na mizaha mingi mazoezini. Hii baada ya muda matokeo yake ndiyo haya tunayoyaona sasa.

Nilipokuwa nasema nakaa pembeni kwenye mambo ya mpira kulinda hisia zangu nilikuwa nayaona maandalizi haya yanakaribia kuzaa matunda. Kipigo cha goli 5 wala hakijanishtua wala kunishangaza.

Matatizo ya SImba hayataisha kirahisi kama mnavyodhani maana waliyoyaleta wamedhamiria.
Mtasema yote mwaka huu.

..........Ila mtaka sawa mkienda Hospital Dodoma akili zenu zishavurugwa mnaandika utumbo tupu.
 
Kipindi mnatoka sare na Al ahly haya mbona hamkuyasema?

Mmeanza ligi kwa kushinda kila mechi na mkajiita wazee wa pira objective haya hatukuyasikia sasa baada ya kipigo kikali mnakuja na theories mbalimbali.
Acha kubwabwaja hovyo. Kwani kwenye mechi za Al Ahly nilisemaje? Embu tafuta kauli zangu uzilete hapa. Mwanzoni mwa msimu kabisa nilileta uzi huu hapa na nikasema wazi Simba itakuwa na msimu mbaya sana na nikatoa sababu hadi wengine wakasema mimi ni utopolo. Baadhi ya hoja nilizotoa wakati ule ndiyo hizi hizi nimezirudia leo. Moja ya maneno niliyosema katika uzi ule ni haya hapa chini.

"Nadhani kuna watu pale kwenye uongozi ndani ya Simba hawana mapenzi ya dhati na timu. Wameshikilia dhamana ya kuwapa furaha wanasimba ila pia wamejiandaa kuitumia dhamana hiyo kuwaumiza kwa maksudi kabisa wanasimba kwa sababu wanazozijua wao wenyewe"
 
Kuna mengi nimekuwa naelezea humu ndani kwa muda mrefu ila nadhani nilikuwa sieleweki ila nadhani sasa mtanielewa. Yanga haiwezi kumfunga Simba goli 5 katika mazingira yoyote ya kawaida na pamoja na mafanikio yoote ya Yanga, moja ya kitu ambacho walikuwa wanatamani kukifanikisha ili kweli wadhihirishe ubora wao kwa Simba ni kuitandika goli za kutosha. Hili jambo lilihitaji mkakati wa kutosha.

Maandalizi yaliyokuwa yanafanyika yalijumuisha kukidhoofisha kikosi cha Simba kwa kufanya usajili mbovu kwa misimu miwili. Usiniambie yule aliyewasajili mbilikimo zaidi ya 3 kwa mkupuo ndani ya dirisha moja la usajili alikuwa na nia njema na Simba. Halafu wakaletwa kina Sawadogo. Huku ndani ya kikosi una yule mchezaji ambaye aliletwa kwa mkakati maalumu, kila akigusa mpira 90% anaupoteza au anaanguka ila namba hakosi na kutolewa hatolewi, anachekacheka tu uwanjani. Halafu ikaja kumpiga pini Phiri baada ya majeraha ili timu ipate changamoto kupata ushindi lakini zaidi wachezaji wengine wacheze kwa tahadhari wakijua wakiumia tu, hawapati namba tena na hiyo ikashusha kabisa morali ya timu. Pia wakahakikisha wanaocheza kila siku ni wachezaji wale wale 13, mwanzo kisingizio kilikuwa walioko benchi hawana uwezo. Ukafanyika usajili mpya wachezaji zaidi ya 10, wakajazwa mawinga huku mahitaji ya ulinzi na kiungo hayakuzingatiwa, usajili wa kipa wote tuliona ulivyofanyika na katika wote waliosajiliwa wanaopewa nafasi kucheza ni 2 tu. Usiniambie aliyesimamia zoezi hili la usajili alikuwa na nia njema na Simba.

Kuhakikisha wachezaji wanapoteza kabisa fitness na utimamu wa kimwili, wakahakikisha kuna benchi dhaifu la kiufundi hasa kocha wa fitness ili siku ya kipigo wote tuseme kweli wachezaji hawana utimamu. Wachezaji hawafanyi mazoezi ya kueleweka, wanakimbia kimbia tu kama wanafunzi wa shule ya msingi na mizaha mingi mazoezini. Hii baada ya muda matokeo yake ndiyo haya tunayoyaona sasa.

Nilipokuwa nasema nakaa pembeni kwenye mambo ya mpira kulinda hisia zangu nilikuwa nayaona maandalizi haya yanakaribia kuzaa matunda. Kipigo cha goli 5 wala hakijanishtua wala kunishangaza.

Matatizo ya SImba hayataisha kirahisi kama mnavyodhani maana waliyoyaleta walidhamiria.
Delusion of grandeur.
 
Acha kubwabwaja hovyo. Kwani kwenye mechi za Al Ahly nilisemaje? Embu tafuta kauli zangu uzilete hapa. Mwanzoni mwa msimu kabisa nilileta uzi huu hapa na nikasema wazi Simba itakuwa na msimu mbaya sana na nikatoa sababu hadi wengine wakasema mimi ni utopolo. Baadhi ya hoja nilizotoa wakati ule ndiyo hizi hizi nimezirudia leo. Moja ya maneno niliyosema katika uzi ule ni haya hapa chini.

"Nadhani kuna watu pale kwenye uongozi ndani ya Simba hawana mapenzi ya dhati na timu. Wameshikilia dhamana ya kuwapa furaha wanasimba ila pia wamejiandaa kuitumia dhamana hiyo kuwaumiza kwa maksudi kabisa wanasimba kwa sababu wanazozijua wao wenyewe"
Sasa haya makelele ya hujuma na takukuru yanatoka wapi?
 
Dogo Acha ujinga. Amka maisha ya endelee

Acha kujifariji kutafuta sababu. Sababu ni moja tu, SIMBA NI MBOVU IMEFUNGWA NA YANGA ILIYO BORA. Hizo habari za miaka 2 unaanzaje kujifariji nazo we jamaaa
 
Kuna mengi nimekuwa naelezea humu ndani kwa muda mrefu ila nadhani nilikuwa sieleweki ila nadhani sasa mtanielewa. Yanga haiwezi kumfunga Simba goli 5 katika mazingira yoyote ya kawaida na pamoja na mafanikio yoote ya Yanga, moja ya kitu ambacho walikuwa wanatamani kukifanikisha ili kweli wadhihirishe ubora wao kwa Simba ni kuitandika goli za kutosha. Hili jambo lilihitaji mkakati wa kutosha.

Maandalizi yaliyokuwa yanafanyika yalijumuisha kukidhoofisha kikosi cha Simba kwa kufanya usajili mbovu kwa misimu miwili. Usiniambie yule aliyewasajili mbilikimo zaidi ya 3 kwa mkupuo ndani ya dirisha moja la usajili alikuwa na nia njema na Simba. Halafu wakaletwa kina Sawadogo. Huku ndani ya kikosi una yule mchezaji ambaye aliletwa kwa mkakati maalumu, kila akigusa mpira 90% anaupoteza au anaanguka ila namba hakosi na kutolewa hatolewi, anachekacheka tu uwanjani. Halafu ikaja kumpiga pini Phiri baada ya majeraha ili timu ipate changamoto kupata ushindi lakini zaidi wachezaji wengine wacheze kwa tahadhari wakijua wakiumia tu, hawapati namba tena na hiyo ikashusha kabisa morali ya timu. Pia wakahakikisha wanaocheza kila siku ni wachezaji wale wale 13, mwanzo kisingizio kilikuwa walioko benchi hawana uwezo. Ukafanyika usajili mpya wachezaji zaidi ya 10, wakajazwa mawinga huku mahitaji ya ulinzi na kiungo hayakuzingatiwa, usajili wa kipa wote tuliona ulivyofanyika na katika wote waliosajiliwa wanaopewa nafasi kucheza ni 2 tu. Usiniambie aliyesimamia zoezi hili la usajili alikuwa na nia njema na Simba.

Kuhakikisha wachezaji wanapoteza kabisa fitness na utimamu wa kimwili, wakahakikisha kuna benchi dhaifu la kiufundi hasa kocha wa fitness ili siku ya kipigo wote tuseme kweli wachezaji hawana utimamu. Wachezaji hawafanyi mazoezi ya kueleweka, wanakimbia kimbia tu kama wanafunzi wa shule ya msingi na mizaha mingi mazoezini. Hii baada ya muda matokeo yake ndiyo haya tunayoyaona sasa.

Nilipokuwa nasema nakaa pembeni kwenye mambo ya mpira kulinda hisia zangu nilikuwa nayaona maandalizi haya yanakaribia kuzaa matunda. Kipigo cha goli 5 wala hakijanishtua wala kunishangaza.

Matatizo ya SImba hayataisha kirahisi kama mnavyodhani maana waliyoyaleta walidhamiria.
Hueleweki

Kwahiyo Yanga ndo kahusika na kuwasajiria Simba wachezaji wabovu ili tu aje amfunge siku moja?
 
Hueleweki

Kwahiyo Yanga ndo kahusika na kuwasajiria Simba wachezaji wabovu ili tu aje amfunge siku moja?
Unachoshindwa kuelewa ni nini? Wapi nimesema Yanga ndiyo wamesajili wachezaji wa Simba? Soma nilichoandika, mbona kila kitu kipo wazi tu bwashee?
 
Wengi awajamuelewa mtoa mada, yeye kawasilisha ujumbe kwa njia ya mzunguko yahitaji akili kubwa kung'amua ILO, hapo anawalaumu viongozi wake walioufanya usajili na walioajiri makocha, kwa maana ya kwamba Simba mbovu ilianza kutengenezwa miaka 2 iliyopita na Sasa ni Kama jipu limeiva linaanzia kutumbuliwa! Uwezi kusajili vibaya na ukategemea matokeo mazuri mbeleni Bali ni kilio tu!
Mtoa mada uko vizuri nimekuelewa🙏🙏
 
Wengi awajamuelewa mtoa mada, yeye kawasilisha ujumbe kwa njia ya mzunguko yahitaji akili kubwa kung'amua ILO, hapo anawalaumu viongozi wake walioufanya usajili na walioajiri makocha, kwa maana ya kwamba Simba mbovu ilianza kutengenezwa miaka 2 iliyopita na Sasa ni Kama jipu limeiva linaanzia kutumbuliwa! Uwezi kusajili vibaya na ukategemea matokeo mazuri mbeleni Bali ni kilio tu!
Mtoa mada uko vizuri nimekuelewa🙏🙏
Afadhali umejitahidi kuwaelewesha hawa vichwa vigumu
 
Wengi awajamuelewa mtoa mada, yeye kawasilisha ujumbe kwa njia ya mzunguko yahitaji akili kubwa kung'amua ILO, hapo anawalaumu viongozi wake walioufanya usajili na walioajiri makocha, kwa maana ya kwamba Simba mbovu ilianza kutengenezwa miaka 2 iliyopita na Sasa ni Kama jipu limeiva linaanzia kutumbuliwa! Uwezi kusajili vibaya na ukategemea matokeo mazuri mbeleni Bali ni kilio tu!
Mtoa mada uko vizuri nimekuelewa🙏🙏
Anamuogopa nani hadi afikishe ujumbe kwa kuficha ficha? Kuna mwenye muda kweli wa kuhangaika na codes?
 
Back
Top Bottom