ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Heshima kwenu wakuu
Nimechaguliwa University of Bagamoyo.
Kilicho nileta hapa ni hiki pale tuna report kuanzia tareh 6 had 15 sasa katika kulizia harakati za hostel kwa watawala wa pale wakaniambia ni laki saba kwa mwaka na ina lipwa yote wakati wa registration... sasa nimepiga hesabu nikaona bora kupanga tu kitaa naomba mni saidie yafuatayooo
»»»»»je ni bora nikae hostel ambako ni lipe laki saba kwa mwaka au bora nipange tuu kitaaa maeneo ya karibu na kawe kilipo chuo
»»»»»nan anaweza nisaidia kupata chumba cha kupanga karibu na kawe au pale kawe,kiwe na maji,umeme,mwenye nyumba asiwe ana kaaa hapo kusiwe na wazazi wenye watoto kifupi mabachelor nitafurahi ukinisaidia
»»»»»je mahitaji mengine ni kama yapi ambayo yatanisaidia kimaishaaa
»»»»»na ushauri wenu kuhusu maisha ya dar kwa ujumla unanishauri ni ishi vipi
MWISHO NAOMBA SANA MSAADA WAKO WA KUPATA CHUMBA AU HATA USHAURI WAKO UTANIFAA SANAA KAMA MNAVO JUA CHUO CHETU.
KIMEANZA 2012 so guyz karibuni katika hili
Nimechaguliwa University of Bagamoyo.
Kilicho nileta hapa ni hiki pale tuna report kuanzia tareh 6 had 15 sasa katika kulizia harakati za hostel kwa watawala wa pale wakaniambia ni laki saba kwa mwaka na ina lipwa yote wakati wa registration... sasa nimepiga hesabu nikaona bora kupanga tu kitaa naomba mni saidie yafuatayooo
»»»»»je ni bora nikae hostel ambako ni lipe laki saba kwa mwaka au bora nipange tuu kitaaa maeneo ya karibu na kawe kilipo chuo
»»»»»nan anaweza nisaidia kupata chumba cha kupanga karibu na kawe au pale kawe,kiwe na maji,umeme,mwenye nyumba asiwe ana kaaa hapo kusiwe na wazazi wenye watoto kifupi mabachelor nitafurahi ukinisaidia
»»»»»je mahitaji mengine ni kama yapi ambayo yatanisaidia kimaishaaa
»»»»»na ushauri wenu kuhusu maisha ya dar kwa ujumla unanishauri ni ishi vipi
MWISHO NAOMBA SANA MSAADA WAKO WA KUPATA CHUMBA AU HATA USHAURI WAKO UTANIFAA SANAA KAMA MNAVO JUA CHUO CHETU.
KIMEANZA 2012 so guyz karibuni katika hili