Maandalizi ya msiba

Maandalizi ya msiba

Tucheke nini? Kuna cha kuchekesha hapo?

Yaani wewe unakuwa busy kuchagua mavazi ufanye mtoko msibani? Na siku mzazi wako au ndugu yako akifa utakuwa busy kupanga mtoko msibani?

Itoshe kusema kama Taifa tumefika hatua mbaya Sana na akili za vijana wa sasa

Achana nae huyo mwezi mchanga huuu watatoka wengi tu mapangoni huko walikojificha
 
Tucheke nini? Kuna cha kuchekesha hapo?

Yaani wewe unakuwa busy kuchagua mavazi ufanye mtoko msibani? Na siku mzazi wako au ndugu yako akifa utakuwa busy kupanga mtoko msibani?

Itoshe kusema kama Taifa tumefika hatua mbaya Sana na akili za vijana wa sasa
Hao ndio wanaitwa vijana wa dotcom. Umewasikiaee wanadiriki kwenda kufanya show msibani!
 
Hee!wewe vipi wewe we ni mshenzi nini?
Mimi mshenzi ila wewe ni mchawi wa fikra na limbukeni wa mawazo.

Umenunua kikadeti chako cha elfu 10 na flana ya buku 5 vinakuwasha kuvivaa hata iwe msibani.
 
Mimi mshenzi ila wewe ni mchawi wa fikra na limbukeni wa mawazo.

Umenunua kikadeti chako cha elfu 10 na flana ya buku 5 vinakuwasha kuvivaa hata iwe msibani.
Mimi ni genius toka kuzaliwa sijawahi shindwa na mtu,weka hilo kwenye ubongo wako wenye matobo,mpuuzi nini wewe.
 
Hao ndio wanaitwa vijana wa dotcom. Umewasikiaee wanadiriki kwenda kufanya show msibani!
Wewe ni tahira wa wapi wewe,mbona umelegea hivyo,wewe ni mwanaume kweli?
 
msiba hauna mtoko,msiba unauma sana
Kwakua wewe ni msichana nakubaliana na mawazo yako.
Halafu nenda kwenye ile thread yangu ya Changamoto za ulevi:Jinsi unavyoumiza jamii na familia,wewe ulikua mtu wa kwanza kuuona,baadae nilikuja ku-edit na moderator,pitia tena usome vizuri.
 
Back
Top Bottom