Unacheka nini wewe!
Nina yakini pasi na shaka wewe umekulia katika mazingira duni mno. Nina hakika ulienda shule na ndala huku makalio yakiwa wazi kupelekea ulimbukeni wako ulio nao sasa wa kumiliki nguo na kuwa na mshawasha wa kuzivaa hata kama iwe ni msibani.Mimi ni genius toka kuzaliwa sijawahi shindwa na mtu,weka hilo kwenye ubongo wako wenye matobo,mpuuzi nini wewe.
Hili nalo limelogwa!!Wewe kaa vizuri mda wote sio kulegealegea kama msichana.Nina yakini pasi na shaka wewe umekulia katika mazingira duni mno. Nina hakika ulienda shule na ndala huku makalio yakiwa wazi kupelekea ulimbukeni wako ulio nao sasa wa kumiliki nguo na kuwa na mshawasha wa kuzivaa hata kama iwe ni msibani.
Wewe ni limbukeni.
Sawa.Mwanaume siku zote haogopeshwi hovyo.
We mtoa uzi wewe, Bangi sio msosi