Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mimi ni Team ChademaMueleze KM, kwamba malalamiko ya Mchungaji Msigwa yazingatiwe...
sawa kamanda team Sugu?π
sawa hongera sana kamanda, unafanya vizuri sanaMimi ni Team Chadema
Porojo za Lumumba zisikupotezesawa hongera sana kamanda, unafanya vizuri sana
ila mchungaji msigwa mmembana sana lakini ndugu zangu dah!!, right left and center, mbaba wa watu hapumui wala kuhema.π
kila akimgusa mjumbe , anaambiwa sugu kaishapita na laki mbili mbili kila mjumbe π€£
Wewe na bosi wako hamtaki kukemea Rushwa?Maandalizi yote ya Uchaguzi wa Chadema Kanda ya Nyasa yale ya ndani ya Ukumbi, Nje ya Ukumbi, pamoja na mazingira yote kabisa yamekamilika...
mmemfanya Mchungaji wa watu aanze kuzunguka na kuingia karibu kila bar kusaka wajumbe, na kila akifika bar anaambiwa pombe yote ya humu imeshalipiwa na Sugu π€£Porojo za Lumumba zisikupoteze
ππππNaomba kura zote za Ndio ziende kwa Billionea SUGU maana mchungaji badala ya kutafuta wajumbe makanisani yeye anaanza kwenda kupita kwenye Ma Bar kuuliza nani amelipia Pombe πππmmemfanya Mchungaji wa watu aanze kuzunguka na kuingia karibu kila bar kusaka wajumbe, na kila akifika bar anaambiwa pombe yote ya humu imeshalipiwa na Sugu π€£
anapitia mateso makali sana mbaba wa watu dah π
Chadema imetengeneza mpango ili Chaguzi zake ziwe front pageKama Sugu atashinda kwa rushwa chama kitapasuka
Ni sahihi kabisa kama unavyoona mipango yote inapangiwa Bar baada ya wajumbe kujimiminia kichwani maji.Chadema imetengeneza mpango ili Chaguzi zake ziwe front page
Mmeingizwa mkenge kibwege sana!Ni sahihi kabisa kama unavyoona mipango yote inapangiwa Bar baada ya wajumbe kujimiminia kichwani maji.
Bila shaka yoyote sugu anapita, chain ya chairman Taifa ni ndefu na endorsement na influence yake ni kubwa mno kwa wajumbe πππππNaomba kura zote za Ndio ziende kwa Billionea SUGU maana mchungaji badala ya kutafuta wajumbe makanisani yeye anaanza kwenda kupita kwenye Ma Bar kuuliza nani amelipia Pombe πππ
Wajumbe msikosee .kazi ni moja tu ni kuchukua na kuweka SUGUUU a.k.a. mr ii πππ
Muda wote wanalalamika tu .halafu badala ya kupiga kampeni na kuomba kura yeye anaanza kuuliza habari za pombe na makreti yake kuwa yamenunuliwa na nani.bila shaka yoyote sugu anapita, chain ya chairman Taifa ni ndefu na endorsement na influence yake ni kubwa mno kwa wajumbe π
sasa msigwa na vice chairman wanainfluence kidogo tu tena ni kwa wanachadema wa kawaida, so hawawezi fua dafu Mbele ya wajumbe π
Endeleeni kugongana Bia. Ninyi ndio mlitaka mpeqe Nchi? Kwa hakika mngeuza Taifa letu kwa kreti za Bia tu.Mmeingizwa mkenge kibwege sana!
umekaririshwaEndeleeni kugongana Bia. Ninyi ndio mlitaka mpeqe Nchi? Kwa hakika mngeuza Taifa letu kwa kreti za Bia tu.
Mchungaji Msigwa alilalamikia nn?Mueleze KM, kwamba malalamiko ya Mchungaji Msigwa yazingatiwe...
pamoja na mambo mengine amelalamikia rushwa kupindukia na kutokua na Imani na msimamizi wa uchaguzi huo muhimu sana chadema πMchungaji Msigwa alilalamikia nn?