Pre GE2025 Maandalizi ya Uchaguzi wa Viongozi wa CHADEMA Kanda ya Nyasa yamekamilika. Tunawatakia kila la heri Wagombea wote

Pre GE2025 Maandalizi ya Uchaguzi wa Viongozi wa CHADEMA Kanda ya Nyasa yamekamilika. Tunawatakia kila la heri Wagombea wote

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Maandalizi yote ya Uchaguzi wa Chadema Kanda ya Nyasa yale ya ndani ya Ukumbi, Nje ya Ukumbi, pamoja na mazingira yote kabisa yamekamilika.

Wajumbe wote kwa wingi wa 100% wamewasili na kwa uhakika wako tayari kabisa, na kwa kweli tunawatakia kila la heri

View attachment 3002249
Ujumbe wetu kwa wahusika wote ni huu hapa

Yaani imetengenezwa picha kambi ya Mbowe ni watu wa rushwa chadema haiaminiki kwa vipande vya fulusi!
 
Namtakia kila la Heri na ushindi mnono na wa kishindo utakao itetemesha Nyanda za juu kusini Billionea na Muwekezaji Mhessimiwa SUGU a.k.a mr 2 Mpambanaji wa Kweli kutoka Mtaani na Mtu wa kuigwa kwa wanaojitafuta.

Ni mfano halisi wa maana ya kuto kukata tamaa katika maisha na kuwa na subira na uvumilivu katika utafutaji na kujuwa kuwa wakati wako ukifika kila mlango utafunguka tu.
Sugu hataki machawa
 
Maandalizi yote ya Uchaguzi wa Chadema Kanda ya Nyasa yale ya ndani ya Ukumbi, Nje ya Ukumbi, pamoja na mazingira yote kabisa yamekamilika.

Wajumbe wote kwa wingi wa 100% wamewasili na kwa uhakika wako tayari kabisa, na kwa kweli tunawatakia kila la heri

View attachment 3002249
Ujumbe wetu kwa wahusika wote ni huu hapa

Namtakia Ushindi Chama cha Zuma huko SA 😂😂😂
 
😃😃😃😃Naomba kura zote za Ndio ziende kwa Billionea SUGU maana mchungaji badala ya kutafuta wajumbe makanisani yeye anaanza kwenda kupita kwenye Ma Bar kuuliza nani amelipia Pombe 😃😃😃

Wajumbe msikosee .kazi ni moja tu ni kuchukua na kuweka SUGUUU a.k.a. mr ii 😃😃😃
Maccm mnapomshabikia Sugu ndiyo mnazidi kumharibia. Kura yangu kwa Msigwa
 
sawa hongera sana kamanda, unafanya vizuri sana

ila mchungaji msigwa mmembana sana lakini ndugu zangu dah!!, right left and center, mbaba wa watu hapumui wala kuhema.🐒

kila akimgusa mjumbe , anaambiwa sugu kaishapita na laki mbili mbili kila mjumbe

Yaani imetengenezwa picha kambi ya Mbowe ni watu wa rushwa chadema haiaminiki kwa vipande vya fulusi!
 
Kama Sugu atashinda kwa rushwa chama kitapasuka
Rushwa imekubalika CHADEMA. Hapa ndio chama kitajipambanua kuwa hiki chama kikiingia madarakani kitakuwa ni cha mlengo upi.
Haya, kanyaga twende ama mfanya biasha/ bwana mapesa- Sugu ( alishasema kwenye mdahalo kuwa yeye huwashauri wananchi wapokee pesa (Rushwa) na kula...Kitachofuata anajua yeye).
Au mchungaji bila hekalu Msigwa anayeamini katika kuelimisha wananchi/wanachadema Katiba ya chama, kanuni na uraia- Sijui anawaachaje wananchi baada ya mafunzo.......?
 
Rushwa imekubalika CHADEMA. Hapa ndio chama kitajipambanua kuwa hiki chama kikiingia madarakani kitakuwa ni cha mlengo upi.
Haya, kanyaga twende ama mfanya biasha/ bwana mapesa- Sugu ( alishasema kwenye mdahalo kuwa yeye huwashauri wananchi wapokee pesa (Rushwa) na kula...Kitachofuata anajua yeye).
Au mchungaji bila hekalu Msigwa anayeamini katika kuelimisha wananchi/wanachadema Katiba ya chama, kanuni na uraia- Sijui anawaachaje wananchi baada ya mafunzo.......?
Acha uongo wewe
 
pamoja na mambo mengine amelalamikia rushwa kupindukia na kutokua na Imani na msimamizi wa uchaguzi huo muhimu sana chadema 🐒
Mchungaji anatakiwa kuwa na ushahidi - lakini kasema kwamba msimamizi kanywa juice na mgombea mwenzake hiyo haina mashiko - maana hata yeye angemwita kupata gahawa angeenda tu.
 
Mchungaji anatakiwa kuwa na ushahidi - lakini kasema kwamba msimamizi kanywa juice na mgombea mwenzake hiyo haina mashiko - maana hata yeye angemwita kupata gahawa angeenda tu.
kwenye uchaguzi signal za kimazingira tu zinakupa picha kamili ya hali halisi, halafu watu huwa wamejipanga vizuri sana, hayupo mjumbe au mgombea anaweza kujianika na achukuliwe ushahidi 🐒

so,
mchungaji msigwa anaweza tu kua na ushahidi wa kinadharia kutokana na facial expressions, tones na body languages za wajumbe alizo waona nazo dhidi yake 🐒
 
Maandalizi yote ya Uchaguzi wa Chadema Kanda ya Nyasa yale ya ndani ya Ukumbi, Nje ya Ukumbi, pamoja na mazingira yote kabisa yamekamilika.

Wajumbe wote kwa wingi wa 100% wamewasili na kwa uhakika wako tayari kabisa, na kwa kweli tunawatakia kila la heri

View attachment 3002249
Ujumbe wetu kwa wahusika wote ni huu hapa

mtumishi na msanii wameacha kugombana?
 
Back
Top Bottom