Pre GE2025 Maandalizi ya Uchaguzi wa Viongozi wa CHADEMA Kanda ya Nyasa yamekamilika. Tunawatakia kila la heri Wagombea wote

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Yaani imetengenezwa picha kambi ya Mbowe ni watu wa rushwa chadema haiaminiki kwa vipande vya fulusi!
 
Sugu hataki machawa
 
Namtakia Ushindi Chama cha Zuma huko SA πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Maccm mnapomshabikia Sugu ndiyo mnazidi kumharibia. Kura yangu kwa Msigwa
 

Yaani imetengenezwa picha kambi ya Mbowe ni watu wa rushwa chadema haiaminiki kwa vipande vya fulusi!
 
Kama Sugu atashinda kwa rushwa chama kitapasuka
Rushwa imekubalika CHADEMA. Hapa ndio chama kitajipambanua kuwa hiki chama kikiingia madarakani kitakuwa ni cha mlengo upi.
Haya, kanyaga twende ama mfanya biasha/ bwana mapesa- Sugu ( alishasema kwenye mdahalo kuwa yeye huwashauri wananchi wapokee pesa (Rushwa) na kula...Kitachofuata anajua yeye).
Au mchungaji bila hekalu Msigwa anayeamini katika kuelimisha wananchi/wanachadema Katiba ya chama, kanuni na uraia- Sijui anawaachaje wananchi baada ya mafunzo.......?
 
Acha uongo wewe
 
pamoja na mambo mengine amelalamikia rushwa kupindukia na kutokua na Imani na msimamizi wa uchaguzi huo muhimu sana chadema πŸ’
Mchungaji anatakiwa kuwa na ushahidi - lakini kasema kwamba msimamizi kanywa juice na mgombea mwenzake hiyo haina mashiko - maana hata yeye angemwita kupata gahawa angeenda tu.
 
Mchungaji anatakiwa kuwa na ushahidi - lakini kasema kwamba msimamizi kanywa juice na mgombea mwenzake hiyo haina mashiko - maana hata yeye angemwita kupata gahawa angeenda tu.
kwenye uchaguzi signal za kimazingira tu zinakupa picha kamili ya hali halisi, halafu watu huwa wamejipanga vizuri sana, hayupo mjumbe au mgombea anaweza kujianika na achukuliwe ushahidi πŸ’

so,
mchungaji msigwa anaweza tu kua na ushahidi wa kinadharia kutokana na facial expressions, tones na body languages za wajumbe alizo waona nazo dhidi yake πŸ’
 
mtumishi na msanii wameacha kugombana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…