Maandalizi ya Wiki ya Maandamano yatakayofanyika Duniani kote yakamilika

Maandalizi ya Wiki ya Maandamano yatakayofanyika Duniani kote yakamilika

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa kutoka kwenye vyanzo vya Uhakika Ndani na Nje ya Nchi , Chadema HQ na Chadema Diaspora , zinaeleza kwamba Maandalizi ya yale Maandamano kabambe ya amani ya kupinga Ugumu wa Maisha na Sheria Mbovu za Uchaguzi Nchini Tanzania Yamekamilika .

Screenshot_2024-03-08-20-57-04-1.png

Taarifa zingine zinaeleza kwamba Wananchi Nchi nzima na walio nje ya Nchi Wanayasubiri kwa hamu kubwa Maandamano hayo, hasa baada ya Rais Samia kusaini Sheria Mbovu za uchaguzi , huku akijua hazifai hata kwa Uchaguzi wa majaribio, Wengi wameahidi kujitokeza ili kumthibitishia Rais Samia ambaye pia ni Mwenyekiti wa ccm kwamba, Sheria hizo hazikubaliki na hazitakiwi kuwepo na zifutwe ili kulinda Haki na Demokrasia .

Usiondoke J , maana Tayari tuko kwenye wiki ya mwisho kuelekea tarehe za Maandamano hayo , Ambayo hayajawahi kufanyika kwenye nchi hii tangu iumbwe na Mungu , kutakuwa na Updates za hapa na pale kuhusiana na Maandamano hayo kutoka kote Duniani .
 
jogging dunia nzima hongereni chadema ...mazoezi ya mwili ni muhimu wa wanachama ...... kimbieni sana chadema ...kila mwezi jogging tu ...... maandamano yoyote duniani lazima yawe na impact kwa jamii au kwa mtawala kusikiliza hoja za muandamanaji......... kama si hivyo ni mazoezi tu kama ya ndugu zetu chadema wanajali sana afya zao wanakimbia kila mwezi
 
CDM mmepoa sana, sijui hizi mvua za masika zimechangia!!
 
jogging dunia nzima hongereni chadema ...mazoezi ya mwili ni muhimu wa wanachama ...... kimbieni sana chadema ...kila mwezi jogging tu ...... maandamano yoyote duniani lazima yawe na impact kwa jamii au kwa mtawala kusikiliza hoja za muandamanaji......... kama si hivyo ni mazoezi tu kama ya ndugu zetu chadema wanajali sana afya zao wanakimbia kila mwezi
Wewe endelea kuchangia Magari mapya ya Wakuu wa Wilaya
 
Taarifa kutoka kwenye vyanzo vya Uhakika Ndani na Nje ya Nchi , Chadema HQ na Chadema Diaspora , zinaeleza kwamba Maandalizi ya yale Maandamano kabambe ya amani ya kupinga Ugumu wa Maisha na Sheria Mbovu za Uchaguzi Nchini Tanzania Yamekamilika .

View attachment 2965448

Taarifa zingine zinaeleza kwamba Wananchi Nchi nzima na walio nje ya Nchi Wanayasubiri kwa hamu kubwa Maandamano hayo , hasa baada ya Rais Samia kusaini Sheria Mbovu za uchaguzi , huku akijua hazifai hata kwa Uchaguzi wa majaribio , Wengi wameahidi kujitokeza ili kumthibitishia Rais Samia ambaye pia ni Mwenyekiti wa ccm kwamba , Sheria hizo hazikubaliki na hazitakiwi kuwepo na zifutwe ili kulinda Haki na Demokrasia .

Usiondoke JF , maana Tayari tuko kwenye wiki ya mwisho kuelekea tarehe za Maandamano hayo , Ambayo hayajawahi kufanyika kwenye nchi hii tangu iumbwe na Mungu , kutakuwa na Updates za hapa na pale kuhusiana na Maandamano hayo kutoka kote Duniani .
Nimejaribu kuchimba huko mitaani,vitongojini na vijijini kila mmoja amesema hajui wala hajasikia na wapo busy kutafuta ugali wa familia zao hao waratibu wa maandamano wameshaweka viroba vya unga na mchele kwenye majumba yao hivyo wasiyumbishwe!
 
Nimejaribu kuchimba huko mitaani,vitongojini na vijijini kila mmoja amesema hajui wala hajasikia na wapo busy kutafuta ugali wa familia zao hao waratibu wa maandamano wameshaweka viroba vya unga na mchele kwenye majumba yao hivyo wasiyumbishwe!
Masikini wanawaza kula tu
 
Usiondoke JF , maana Tayari tuko kwenye wiki ya mwisho kuelekea tarehe za Maandamano hayo , Ambayo hayajawahi kufanyika kwenye nchi hii tangu iumbwe na Mungu , kutakuwa na Updates za hapa na pale kuhusiana na Maandamano hayo kutoka kote Duniani .
Badala ya kuhamasisha watu wajitokeze kwenye kongamano wewe unataka wasiondoke JF?
 
Masikini wanawaza kula tu
Kama.wewe na familia yako hamjawahi kula jipigeni bisu la vifua.

Tunataka mkae pale mbele na familia zenu mkiongoza maandamano.

Ila nyie ni wapumbavu, watu wako huko mtaani kila mtu yuko bize anatafuta pesa kwa ajili yake na familia yake, eti mnataka akakae pale mbele apigwe mabomu afe watu waziache familia zao kisa chadema,,mnaumwa mavi nyie.
 
Kama.wewe na familia yako hamjawahi kula jipigeni bisu la vifua.

Tunataka mkae pale mbele na familia zenu mkiongoza maandamano.

Ila nyie ni wapumbavu, watu wako huko mtaani kila mtu yuko bize anatafuta pesa kwa ajili yake na familia yake, eti mnataka akakae pale mbele apigwe mabomu afe watu waziache familia zao kisa chadema,,mnaumwa mavi nyie.
Enzi za Mabomu zimeisha , zimebaki hoja tu
 
Back
Top Bottom