Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Asante kwa kushirikiUSHUZI MTUPU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa kushirikiUSHUZI MTUPU
Taarifa kutoka kwenye vyanzo vya Uhakika Ndani na Nje ya Nchi , Chadema HQ na Chadema Diaspora , zinaeleza kwamba Maandalizi ya yale Maandamano kabambe ya amani ya kupinga Ugumu wa Maisha na Sheria Mbovu za Uchaguzi Nchini Tanzania Yamekamilika .
Taarifa zingine zinaeleza kwamba Wananchi Nchi nzima na walio nje ya Nchi Wanayasubiri kwa hamu kubwa Maandamano hayo, hasa baada ya Rais Samia kusaini Sheria Mbovu za uchaguzi , huku akijua hazifai hata kwa Uchaguzi wa majaribio, Wengi wameahidi kujitokeza ili kumthibitishia Rais Samia ambaye pia ni Mwenyekiti wa ccm kwamba, Sheria hizo hazikubaliki na hazitakiwi kuwepo na zifutwe ili kulinda Haki na Demokrasia .
Usiondoke J , maana Tayari tuko kwenye wiki ya mwisho kuelekea tarehe za Maandamano hayo , Ambayo hayajawahi kufanyika kwenye nchi hii tangu iumbwe na Mungu , kutakuwa na Updates za hapa na pale kuhusiana na Maandamano hayo kutoka kote Duniani .
unavuta nini wewe ?
Mpiga mabomu alishakufa mkuuKama.wewe na familia yako hamjawahi kula jipigeni bisu la vifua.
Tunataka mkae pale mbele na familia zenu mkiongoza maandamano.
Ila nyie ni wapumbavu, watu wako huko mtaani kila mtu yuko bize anatafuta pesa kwa ajili yake na familia yake, eti mnataka akakae pale mbele apigwe mabomu afe watu waziache familia zao kisa chadema,,mnaumwa mavi nyie.
Tunapokea ushauri wako , lete wazoHakuna wazo jipya kabisa la kufanya ili Amisa asikie?
Insurance policy?Mbowe atakuepo?? Na familia yake yote?
Cuf wale ngangari walikuwa wanaharakati wa kweli sio awa mabwashee leo wanampa mama tuzo ya rais bora kesho wanasumbua watu waingie mtaani kutafuta madarakaDuh
Maandamano waliwezaga CUF tu Hapa Tanzania 🐼
Huo ungangali wao umewafikisha wapi ?Cuf wale ngangari walikuwa wanaharakati wa kweli sio awa mabwashee leo wanampa mama tuzo ya rais bora kesho wanasumbua watu waingie mtaani kutafuta madaraka