Maandalizi ya Wiki ya Maandamano yatakayofanyika Duniani kote yakamilika

Ndugu madenge amekuwa mtu mzima na taarifa zaidi zilizotufikia ameota masharafa na mvi chungu tele!
 
 
Mpiga mabomu alishakufa mkuu
 
Tutakuwa na teua tengua, yanayojiri bungeni, haya ya kufuatilia halaiki za kupokea ruzuku ya TShs.2.7 bilioni, tutawaachia 'walio join the chain'

Piiiipoz mpo?
 
Duh

Maandamano waliwezaga CUF tu Hapa Tanzania 🐼
Cuf wale ngangari walikuwa wanaharakati wa kweli sio awa mabwashee leo wanampa mama tuzo ya rais bora kesho wanasumbua watu waingie mtaani kutafuta madaraka
 
Cuf wale ngangari walikuwa wanaharakati wa kweli sio awa mabwashee leo wanampa mama tuzo ya rais bora kesho wanasumbua watu waingie mtaani kutafuta madaraka
Huo ungangali wao umewafikisha wapi ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…