Maandamanao ya wanafunzi wa elimu ya tarehe 15/08/2014- Nchi nzima

Joined
Jan 29, 2014
Posts
35
Reaction score
37
Ikiwa ni wiki ya nane tangu mafunzo kwa vitendo(fieldwork) kuanza wanafunzi wa Elimu ya juu hawajapata fedha zao za kujikimu,hivo SIKU YA IJUMAA,TAREHE 15/08/2014 yatafanyika maandamano ya Amani Nchi Nzima kushinikiza kulipwa fedha hizi.

Maandamano ya Dar es Salaam yataelekea Ofisi ya Waziri Mkuu Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania (Mtoto wa mkulima,Mizengo pinda),Maandamano ya Mikoani yataelekea Ofisi za Wakuu wa Mikoa.Wito kwa wanafunzi wote wa Elimu ya juu,wadau wa Elimu,wanaharakati wa haki za Binadamu na Watanzania wa kawaida kuunga mkono maandamano haya



CHANZO:
Majira
 

Attachments

  • 1407986653000.jpg
    78.7 KB · Views: 803
Vitisho tu...kila siku mnatishia kugoma hatuoni mkifanya hvyo,kizazi cha watoto wa chuo leo sikielewi,wote wamekuwa waseminari.How do you survive and torelate 8weeks bila kupewa chenu?I remember those years baana,hizo ofisi zao zisingekalika..... the then COET
 
Mie nimezisubiri hela hizo nimechoka nina harakati za kurudi nyumbani...hapo zimechelewa za field sasa tusubiri za kujikimu chuoni. Vyuo vikifunguliwa lazima tuone moto
 
Vipaza sauti ni bora kuliko nyie someni harama za nyakati,nimesikia gazeti la majira kwamba wanafunzi kumvaa pinda kesho.
 
Maandamano yalikuwa enzi hizo sasa hivi vijana wetu hamna umoja kabisa. Maisha yakiendelea hivi nchi imekosa wa kuiongoza. Mkipewa kanga, t-shirt na kofia mna lala usingizi kabisa.
 
Unganisheni mambo mengi kama ufisadi, ajira, ugumu wa maisha, mfumuko wa bei nk hapo tutakuwa pamoja na nyie. Msisahau kufunga matawi ya CCM vyuoni
 
Vitisho tu...kila siku mnatishia kugoma hatuoni mkifanya hvyo,kizazi cha watoto wa chuo leo sikielewi,wote wamekuwa waseminari.How do you survive and torelate 8weeks bila kupewa chenu?

So, unawataka wawe na akili kama za UKAWA? Ninyi mliozaliwa nje ya ndoa mna matatizo kila kitu kugoma, kulalamika na ubishi wa kishetani tu. Kuweni kama CCM
 
Kama wapo field, wataandamana kutokea wapi? Na nani mratibu wa hayo maandamano?
 
Ukisikia maandamano tu basi ujue CHADEMA ipo ndani
 
Unganisheni mambo mengi kama ufisadi, ajira, ugumu wa maisha, mfumuko wa bei nk hapo tutakuwa pamoja na nyie. Msisahau kufunga matawi ya ccm vyuoni
Kwa kawaida maandamano yanakuwa na dhima moja tu
 
Na je vipi kuhusu kibali kutoka jeshi la polisi?
 
Ila mkumbuke kuwa IGP wa sasa si shemeji yenu SAID MWEMA. Huyu ni Ernest Mangu.
 
Na wanaharakati tena? Nilitaka niwaunge mkono, sasa nimeghahiri. Haya maandamano ya kisiasa
 
Ila mkumbuke kuwa IGP wa sasa si shemeji yenu SAID MWEMA. Huyu ni Ernest Mangu.
Hawa wanafunzi wameanza kutumiwa vibaya na wanasiasa, usije ukashangaa mabango yameandikwa katiba mpya
 
They know, they have been used by politicians
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…