Maandamanao ya wanafunzi wa elimu ya tarehe 15/08/2014- Nchi nzima

Maandamanao ya wanafunzi wa elimu ya tarehe 15/08/2014- Nchi nzima

nashukuru mungu nimebain umepungukiwa akili siyo damu mana nilikuwa napanga kujitolea ya kwangu ...inabidi nikuhurumie tu mana sina masada kwa hilo
ha ha ha,jipangee mkuu,sio unazaa watoto lundo ili baadae kupigia kelele eti field,field kitu gani bana.miaka yote watu hawaendi hiyo field mpaka magaidi wa ukawa wawambie andamaneni kudai field eti hela zimeishia bunge la katiba badala ya kwenda kulipia field.
 
laiti bunge la katiba lingesimama kwa siku mbili tu...wanafunzi wangepewa hela zao..kila cku wanakula laki 3 tatu...vipasa saut kila cku vinalipiwa milion 8.9....bado mnatuita UKAWA...SINA IMANI NA SERIKALI
 
unafikiria kwa ku2mia makali.o sio kosa lako!unajua wanafunzi wanavyopata shida,kuna mdada kwa ugumu wa life amemfata supervisor kuomba msaada jamaa akata game in return,dada wa watu kapanua mapaja!vp kama angekuwa dadaako?kuna vijana wengi tunawaona wanavyohangaika,unaona haya mazuri au wewe huna watoto so huna cha kupoteza shwain mkubwa wew!
Badala ya kuwapa mawazo wafanye ni kwa kutelekezwa kwa wiki 8 we unaona poa 2 nakushangilia wapigwe!

Acha ujinga kupanua miguu kwa wadada wa vyuo kawaida ata angekuwa na pesa lazima angepanua tu
 
Michango mingi humu haina nidhamu ila kama maandamano ya amani fanyeni coz mtakuwa mmepewa kibali kutoka police ila kama maandamano yasiyo rasmi nawashauri kama wadogo zangu acheni huu ujinga majuto ni mjukuu coz serikali ina mkono mrefu sana natamani kuweka case study nyingi hapa ila sina muda wa kutosha
 
ukisikia maandamano tu basi ujue chadema ipo ndani

acha waandamane wadai haki yao,halafu wewe lizabon hujitambui kwan maadamano ni haki ya kikatiba na wanachokifanya hao vijana na chadema ni kutimiza haki ya kikatiba nina wasiwasi na elimu yako,kama una elim ya juu bas wewe hufai kabisa maana hata katiba huijui,huku jf unafanya nini maana hapa panaitwa home of great thinkers
 
Matatizo ya taifa letu nimakubwa sana na hayata tatulika kwa kuandamana pekeyake, mfumo mzuri unaanzia kwenye katiba yenyewe hapo ndio paku komaa napo., hata ukipewa pesa leo baada ya mwaka utasikia utata mwingine, ndio utawala wenyewe ulivyo, kuna mambo yana tia uchungu, kama raia tukileta mdhaha tusije kushangaa kwamba mpaka tuna zeeka kero ndio zile zile. Bongo mizinguo mingi.plan zetu,utendaji, na usimamizi ni hafifu, wachina
wana mitambo, na rasilimali nyingi kwasababu wanajitambua wana fanya nn na wana elekea wap, sisi hatuja jielewa vizur.
 
Nashangaa watu kushindwa kuona uhalisia. Yaani mtu anadai haki yake ya msingi alafu mtu anamdharau. Duh! Kweli sumu ya ccm ni kali sana. Watu wamekuwa vipofu.
Alafu mtu wa namna hiyo akicheleweshewa mshahara hata kwa wiki mbili tu ataleta kelele kibao hapa jf. Wanafunzi wanadai haki zao na sio kitu kingine cha ziada. Sasa wewe mkuundugu yangu unaesema wanachochewa na ukawa unatoa wapi gutts hizo? Humu jf sikuizi kumevamiwa hakuna great thinkers wa maana.
 
ha ha ha,jipangee mkuu,sio unazaa watoto lundo ili baadae kupigia kelele eti field,field kitu gani bana.miaka yote watu hawaendi hiyo field mpaka magaidi wa ukawa wawambie andamaneni kudai field eti hela zimeishia bunge la katiba badala ya kwenda kulipia field.

ww unaona watu kupewa hela ya fiekd ni kwa sababu hana wazaz wenye uwezo wa kumhudumia

mbona ukiajiliwa unataka mshahara wakati wewe unawazazi wanauwezo.....any way NAKUPUUZA.....
 
serikali imepoteza utendaji wa kazi makini na kuanza kuleta ubabaishaji kwenye mambo muhimu pia wanasahau hizo pesa ni mkopo sio msaada kwa nini wawe wasumbufu kutoa pesa naamini serikali inaweza kuwa chanzo cha maadili kuporomoka
 
Back
Top Bottom