Maandamano Iran: Mpaka sasa wamekufa 83, maandamano yanaendelea, wamechoka uonevu wa kidini

Naona unaropoka ropoka tu hueleweki, ukizungumzia kufanya dhambi kwa mgongo wa dini ndio nimekuuliza wenye kufanya utapeli makanisani huko huku wakimtaja Yesu na Yehova hao hawajatumia mgongo wa dini kufanya utapeli? Zile ndoa za jinsia moja kwenye nyumba za ibada makanisani bado hawajahusisha dini ukristo?

Kama kweli kama unavyosema dini ni matendo basi hayo matendo mbona huyakubali unakwepa kwepa?

Halafu hilo suala la binti wa miaka 9, hebu tuambie basi kipind hicho wakati Muhammad anao huyo binti wa miaka 9 je umri sahihi wa binti kutakiwa kuolewa ni kuanzia miaka mingapi? Kwa mfano sasa hivi umri sahihi ni kuanzi miaka 18.
 
Dini ya wale Askari wa Vita vya msalaba walioua wayahudi,waislam,wakiristo wa orthodox pale Jerusalem mpaka damu ikafika magotini..waliagizwa na dini yao!?
 

Nimekuambia binadamu wote tunatenda dhambi, ila nyie ndio hupitiliza na kusema mnaua kwa ajili allah wenu, kuhusu mohammed kubaka katoto, haijalishi kipindi, iwe zamani au leo, unless uniambie alikua na kibamia labda nitaelewa, lakini kama alikua zee la miaka 50 na hapo lilikua na wake wengine tayari, likapeleka minyege kwa katoto, na ndiye huyo mnamuabudu na hamtaki atajwe, akitajwa mnalipukia watu mabomu, mlirogwa kweli.

Najaribu kufikiria hapa, katoto hakajaota hata chuchu, unapataje mzuka wa kukagegeda, hivi kwenye dini yenu hiyo akina baba wa vibinti vidogo huwa hamjiulizi ni nini kiliwaingia mpaka mumuabudu a paedophile kabisa yaani.
 
Ipo siku watakuja kuyajutia haya maneno. Ndio maana mtu alikuwa anakiuka mafundisho ya imani alikuwa anapewa adhabu kali ili kuzuia kizazi cha mauti na shetani kama hiki.
Kuua mtu NI USHETANI WENYEWE. YAANI AMRI YA MUNGU INASEMA USIUE. WEWE UNAUA KWA KIGEZO CHOCHOTE KILE NI USHETANI.
 
Wewe ni mtu mjinga mwenye reasoning capacity ndogo sana apa unatetea nini yaani unataka kusema kuwa unatetea mamlaka ya Iran jwa kitendo chake cha kuuondoa,uhai wa mwanadamu kisa tu kioande cha nywele zake kimeonekana duuh ama kweli mzee umenishangaza unatetea mtu kuuliwa kisa tu nywele zimeonekana daaah mzee ach upum bavu bhana
 
Kumbe umetoka kwenye kuangalia matendo yenye kuhusishwa na dini na sasa umekuja na hoja ya kwamba waislamu wamepitiliza kisa wanapouwa wanasema wanauwa kwa ajili ya Allah, sasa hapo ndio kwenye umuhimu wa kujua uislamu wenyewe unasema nini na sio kuangalia vitendo tu na ndio mwanzoni kabisa hoja yangu ilikuwa kwamba watu wengi waliyo nje ya uislamu hawaujui huo uislamu kwao uislamu ni yale matendo ya ugaidi basi kwamba yeye anavyoujua uislamu basi anachoelewa ni ugaidi au kufuga majini.

Sasa mkuu kama hata hujui kipindi hicho umri wa binti kufaa kuolewa basi inakuwa shida hivyo ulipaswa ufanye uchunguzi kwanza kujielimisha kuliko kuja tu humu ili kumtukana Mtume haikusaidii lolote, ndio maana nimesema kama hilo jambo lingekuwa ni kinyume kipindi hicho kwa umri huo binti kuolewa basi nadhani hata waislamu wasingelieleza lingefichwa maana ingekuwa sifa mbaya kwa mtume wao waislamu.

Sasa mimi nataka uniambie kwanza ni umri gani ambao mabinti walikuwa ndio hupaswa kuolewa katika enzi hizo? ili sasa ndio tujue kwamba alichofanya Muhammad ni kosa au haikuwa sawa.
 
Ndio tuseme umedandia train kwa mbele au vp? Siku nyengine soma ili uwelewe sio unakurupuka tu.
 


Haya ni maneno yako

"Sasa mimi nataka uniambie kwanza ni umri gani ambao mabinti walikuwa ndio hupaswa kuolewa katika enzi hizo? ili sasa ndio tujue kwamba alichofanya Muhammad ni kosa au haikuwa sawa?


Naomba nikuulize kupitia maneno yako, je hawa waislamu wanafunga ndoa na vitoto pichani wa enzi hizi kidini wapo sawa sawa au wanakosea ? Je mafundisho ya uislamu enzi hizi yanakataza kuoa vitoto ama yanaruhusu.

Swali la mwisho Hizi picha za hawa wana ndoa ni za enzi gani ?
 

Attachments

  • kc9eho75uji71(1).jpg
    132.6 KB · Views: 5
  • Screenshot_20221001-100627_Firefox.jpg
    89.2 KB · Views: 5
  • tumblr_mbowqt10e71r146zvo1_r1_1280.jpg
    87.4 KB · Views: 5
  • CA005-0001-047.jpg
    43.3 KB · Views: 5

Nimekuambia binadamu wote tunatenda dhambi, ila nyie tu ndio huwa mnayafanya kwa ajili ya allah, hampo kawaida kama wengine, mnaua kwa kuchinja, kukata vichwa kwa jina la allah, mnalipuka mabomu kwa ajili ya allah, mnafanya mambo ya kishetani kisa allah.

Mimi sina haja ya kujua mabinti walipaswa kuolewa kwenye umri gani, kimsingi wenyewe mnakiri huyo mwarabu aligegeda hako katoto kwenye umri wa miaka tisa, hapo hakajaota chuchu
 
Hakujawahi kuwa na mtazamo wa aina moja juu ya umri upi wenye kufaa binti kuolewa, jamii zimekuwa zikitofautiana pamoja na zama zinavyobadilika na umri wa binti kufaa kuolewa unabadilika. Sheria zetu leo mfano Tanzania binti chini wa miaka 18 hapaswi kuolewa ni kosa ila ukiangalia hata kwenye biblia huko kipindi hicho utakuta binti wa miaka 12 hadi 13 hufaa kuolewa.

Nieleweke kwanza hapo.
 

Hujanijibu maswali yangu. Yasome tena vizuri

"Naomba nikuulize kupitia maneno yako, je hawa waislamu wanafunga ndoa na vitoto pichani wa enzi hizi kidini wapo sawa sawa au wanakosea ?

Je mafundisho ya uislamu ya enzi hizi yanakataza kuoa vitoto ama yanaruhusu kuoa vitoto?

Swali la mwisho Hizi picha za hawa wana ndoa ni za enzi gani ?
 
Hata wewe unaweza ukachinja mtu na ukasema umefanya kwa ajili ya Allah, kwani kutamka tu kuna ugumu gani si maneno tu kama anayetapeli kanisani huku anatamka Bwana Yesu.

Huko kwenye biblia tu unaonekana hujui inaeleza enzi hizo mabinti waliolewa na umri gani wewe unafikiri kila kitu kilikuwa kama sasa, hata huko kuuwa kwa ajili ya Yehova kupo huko ila huna unalojua.
 

Ingekua mtu mmoja sawa, au wachache sawa tungesema wamepagawa, ila nyie mpo hivyo mumelaaniwa kote, kuanzia uarabuni, mpaka bara asia kuja mpaka Afrika matukio ni yale yale ya kuua kwa jina la allah na matendo mengi ya kijinga yote kwa jina la allah.

Enzi za umri wa mabinti kuolewa, hajilishi, kinachofanya niwadharau ni hilo la chimbuko lenu kuwa mwarabu ambaye hakua na aibu ya kubaka katoto ka miaka tisa, yaani kha mnatia kinyaa.... ha ha ha!! Halafu yaani mpo mpo tu full mindevu na mikanzu mnataka mfanane na huyo mzee
 
Sio muelewa.

Nimefafanua maelezo yangu ambayo ndio msingi uliyojengea hayo maswali yako ila ajabu hujaelewa unaendelea kuuliza et mafundisho ya sasa ya uislamu kama yanaruhusu?

Aisee! Hebu soma uelewe sio unakimbilia kutaka kuuliza tu maswali ambayo unadhani utakuwa umeniweza, uislamu ushaeleza ni yupi hufaa kuolewa na ila kuna mitazamo tofauti kutokana na jamii.
 

Kwa hiyo hawa jamaa wapo sahihi kwa mafundisho ya dini ya kiislamu?
 

Attachments

  • Screenshot_20221001-100627_Firefox.jpg
    89.2 KB · Views: 5
  • tumblr_mbowqt10e71r146zvo1_r1_1280.jpg
    87.4 KB · Views: 6
Sasa sioni msingi wa hoja zako naona unataka tujibizane tu ilimradi tu tunajibizana.

Unakubali watu hukosea bila kujali dini zao ila unakuja na hoja ya kwamba waislamu hukosea sana kisa hutaja Allah wanapofanya hayo makosa ila ajabu huzungumzii kwamba hata wakristo humtaja Yesu huko makanisani na hali hufanya utapeli na miujiza ya kishirikina.
Sasa nashindwa kukuelewa naona unaleta mabishano ya facebook tu.

Kuhusu kubaka basi kubakana huko kupo toka kwenye biblia watoto wameolewa na miaka 12 na hakuna ambapo Yehova alipokataza huo ubakaji.
 
Kwa hiyo hawa jamaa wapo sahihi kwa mafundisho ya dini ya kiislamu?
Sielewi lolote kuhusu hao uliyoniwekea hizo picha sijui kwanini umeshikilia nikujibu kwa kunionesha tu hizo picha?
 
Sielewi lolote kuhusu hao uliyoniwekea hizo picha sijui kwanini umeshikilia nikujibu kwa kunionesha tu hizo picha?

Kama picha hutaki?

Nijibu kwa kupitia quran, hadithi na Sunnah mnaozifuata waislam wote dunia nzima.. je ni sahihi kwa muislamu kumuoa na kumtombaz mtoto wa miaka 9 kwa kigezo amevunja ungo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…