Maandamano kupinga kuwepo kwa BAR mitaani eneo lote la Kiembe Samaki, Zanzibar

Maandamano kupinga kuwepo kwa BAR mitaani eneo lote la Kiembe Samaki, Zanzibar

Mwambao

Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
22
Reaction score
6
Ndugu wana JF wote wale wanaochukia madhila kwa wananchi munaalikwa nyote katika maandamano ya kupinga kuwepo kwa BAR maeneo ya kiembe samaki maana imekuwa kero sana wanasumbua kwa miziki na fujo za walevi kesho alhamis tunaelekea mahakama ya mwanakwerekwe kupinga BAR kuwepo mitaa ya kiembe samaki muda na pahala pa kuanzia nitawajulisha shime tufike kwa wakati. Jambo lolote baya liondoe kwa mkono wako Ahasante
 
anzeni kwanza kwa kupinga kuwepo kwa DANGULO LENU pale bwawani, basi ukiona hivyo hio baa; mmiliki wake ni mtu wa bara (mbongo), mbona hampingi kuwepo kwa lile DANGULO la mzanzibari wenzenu, au kwasababu ******* wanapatikana, halafu mkaandamane kwa kuwepo kwa kundi la nyumba zinazojihusisha na wasagaji na ******* pale kisima majongoo....!!! Hivi kuna watu wenye vitendo vichafu kama ninyi, asiyeijua zanzibar anaweza kufikiri ninyi ni wacha Mungu, lakini hapo ndio mlango wa JEHANAMU....!!!
 
Ndugu wana JF wote wale wanaochukia madhila kwa wananchi munaalikwa nyote katika maandamano ya kupinga kuwepo kwa BAR maeneo ya kiembe samaki maana imekuwa kero sana wanasumbua kwa miziki na fujo za walevi kesho alhamis tunaelekea mahakama ya mwanakwerekwe kupinga BAR kuwepo mitaa ya kiembe samaki muda na pahala pa kuanzia nitawajulisha shime tufike kwa wakati. Jambo lolote baya liondoe kwa mkono wako Ahasante

Mgengepinga kwakutokunywa na wao wakakosa wateja na kufunga wenyewe ningewaunga mkono ila kwa hili la kundamana barabarani kwakweli mmekosa la kufanya au mmekuwa wavivu wa kufikiri, kama ni kugoma kuna mambo kibao ya kugomea serikali yetu imeshindwa kuyatimiza
 
anzeni kwanza kwa kupinga kuwepo kwa DANGULO LENU pale bwawani, basi ukiona hivyo hio baa; mmiliki wake ni mtu wa bara (mbongo), mbona hampingi kuwepo kwa lile DANGULO la mzanzibari wenzenu, au kwasababu ******* wanapatikana, halafu mkaandamane kwa kuwepo kwa kundi la nyumba zinazojihusisha na wasagaji na ******* pale kisima majongoo....!!! Hivi kuna watu wenye vitendo vichafu kama ninyi, asiyeijua zanzibar anaweza kufikiri ninyi ni wacha Mungu, lakini hapo ndio mlango wa JEHANAMU....!!!

Au ndo jehanam yenyewe na inaelekea mambo yanayofanyika huko yanamtisha hata shetani mwenyewe
 
bia hapana ,! alakini wanaume kupandiana kwa nyuma ruhusa,hivi nini tafsiri ya dhambi hapo? Alafu hili suala la kundi flani la watu kujiona wako karibu sana na muumba nalo sio zuri.atakae toa hukumu ni mola tu,sasa nyie mnao hukumu duniani hukumu yenu inakuja
 
bia hapana ,! alakini wanaume kupandiana kwa nyuma ruhusa,hivi nini tafsiri ya dhambi hapo? Alafu hili suala la kundi flani la watu kujiona wako karibu sana na muumba nalo sio zuri.atakae toa hukumu ni mola tu,sasa nyie mnao hukumu duniani hukumu yenu inakuja

Hili neno mkuu
 
Nahisi tatizo si uwepo wa bar bali mmliki, na inawezekana kabisa mmliki akawa ni mtu mwenye asili ya bara. Matukio ya moto Zanzibar yamekuwa yanahusisha sana biashara za watu wenye asili ya bara. Kama ni bar kwanini zile za Mji Mkongwe hazichomwi? Au ni 'safi' kwa sababu zinamilikiwa na wanzanzibari wenyewe?

Itakuwaje kama watu wa bara wakaanza kulipiza visasi? Kuna maduka ya wapemba kibao Kariakoo, Namanga, Mikocheni na sasa Kawe. Watu wa bara wanaweza kuondoka Zanzibar lakini wenyeji watajikuta bado wanatafutana. Ubaguzi ni kitu kibaya sana.
 
Badala ya kuandamana kupinga vijana wao waache kula maunga ya kidufi wanakuja kuandamana kupinga ulabu ? Kweli mnatumia miguu kufikiri.
 
Huyo unazungumzia vibanda vya tende, kweli vipo vingi! Kuanzia K'samaki, Ghuba hadi Buju
 
King'amuzi linalonga katika sahihi yake...usipoteze muda kuwasha moto juu ya maji.
 
wazanzibar ni *******-natamani waende mkoa wa kilimanjaro,arusha na mikoa mingine waone bar zilivyo nyingi,
wanajifanya wasafi kumbe ni wachafu wa kutupwa-MBONA HELA ZA MISAADA YA AJALI YAO YA MELI WALIPOKEA PESA KUTOKA KWENYE KAMPUNI ZA BIA-WAZIRUDISHE ZILE HELA BASI
 
Mkimaliza hilo andamaneni kukomesha lile genge la kisenge la mashoga pale Bwawani au kwa vile wewe ni mteja namba moja wa ushoga ndo unaanzisha maandamano kupinga Pombe?
 
Na muandamane ili vijana wenu wote wa kiume waache ubeach boy wa kulala na vibibi vya kizungu katika beach zote za Zanzibar.
 
hivi hizo bar zingefunguliwa kama hakuna wateja? Mnapinga bar wateja vipi? Au hazimilikiwi na wazenji?
 
Back
Top Bottom