bia hapana ,! alakini wanaume kupandiana kwa nyuma ruhusa,hivi nini tafsiri ya dhambi hapo? Alafu hili suala la kundi flani la watu kujiona wako karibu sana na muumba nalo sio zuri.atakae toa hukumu ni mola tu,sasa nyie mnao hukumu duniani hukumu yenu inakuja
wazanzibar ni ********-natamani waende mkoa wa kilimanjaro,arusha na mikoa mingine waone bar zilivyo nyingi,
wanajifanya wasafi kumbe ni wachafu wa kutupwa-MBONA HELA ZA MISAADA YA AJALI YAO YA MELI WALIPOKEA PESA KUTOKA KWENYE KAMPUNI ZA BIA-WAZIRUDISHE ZILE HELA BASI
bia hapana ,! alakini wanaume kupandiana kwa nyuma ruhusa,hivi nini tafsiri ya dhambi hapo? Alafu hili suala la kundi flani la watu kujiona wako karibu sana na muumba nalo sio zuri.atakae toa hukumu ni mola tu,sasa nyie mnao hukumu duniani hukumu yenu inakuja
Mkuu heshima mbele. Tuombe radhi, usiseme Wazanzibari wajinga. Sema baadhi ya wazanzibari ni wajinga. Jee nikisema Watanganyika ni wajinga utafurahi?
Jamaa kasepaaa
Ndugu wana JF wote wale wanaochukia madhila kwa wananchi munaalikwa nyote katika maandamano ya kupinga kuwepo kwa BAR maeneo ya kiembe samaki maana imekuwa kero sana wanasumbua kwa miziki na fujo za walevi kesho alhamis tunaelekea mahakama ya mwanakwerekwe kupinga BAR kuwepo mitaa ya kiembe samaki muda na pahala pa kuanzia nitawajulisha shime tufike kwa wakati. Jambo lolote baya liondoe kwa mkono wako Ahasante
Afu Zanzibar vile ving'ora kama vya kijeshi kila siku saa 7.30,3.30 na 6.00! Maana yake nini? Au ni nchi ya kijeshi hadi watu waongozwe kwa ving'ora!