maandamano kwa jobless

maandamano kwa jobless

Mie naona ni ujinga mkubwa...kwa nini msianzishe mchakato wa kutafuta njia za kujiajiri?Je mkishafanya hayo maandamano ajira zitapatikana???
We unaumwa kweli, mbona we huachi ajira yako ukajiajiri kama unadhani mazingira yanaruhusu. We unadhani kama tuna mitaji tungetaka kuajiriwa? Unaonekana kama mizee ya ccm inayozeekea madarakani huku ikihimiza ajira binafsi wakati yenyewe haendi huko.
 
Back
Top Bottom