Maandamano Makubwa Jijini London

Maandamano Makubwa Jijini London

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
27 July 2024
London, Uingereza

MAANDAMANO MAKUBWA LONDON 27 JULY 2024
1722116673807.png

Maandamano makubwa yafanyika na kuhutubiwa na kiongozi Tommy Robinson mwenye siasa za mrengo wa kulia yaani msimamo mkali dhidi ya wahamiaji na wakimbizi wanaotaka kuleta desturi na mila zao nchini Uingereza. Tommy Robinson anataka raia wa Uingereza walinde kwa wivu utamaduni wao, na mila bila kutetereka akidai wanasiasa wanataka kuua urithi wa asili ya Waingereza

View: https://m.youtube.com/watch?v=2ZxWap96B18
Maandamano hayo ya maelfu ya watu yalikuwa ya amani, ingawa wakati fulani kundi dogo linalopiga waandamaji wenye msimamo mkali dhidi ya wahamiaji kupaza sauti dhidi ya maelfu ya waandamaji wanaomuunga mkono Tommy Robinson.

Polisi wa jiji la London wanakisia watu kiasi ya 10,000 walijitokeza huku wamebeba bendera zinazoashiria historia ndefu ya dola la Uingereza, huku wengine wakibeba bendera zenye jina la Trump n.k
 
watu wanatak uhuru wao wakuoana wagen wanawanyima raha kuwasema na kuwashangaa nakukosoa mila zao za jad acha waandamane watetee tamadun zao chaf chaf za kshetan😒
 
Waarabu na waafrika ni viumbe wa hovyo sana wafukuzwe hasa haya mtoto ya shetani ala
Ugonjwa wa Moyo..... then H.B.P... then Kidney failure vInakunyemelea kwa kasi.

Acha chuki....acha husda.....Dini zote ni Utapeli.

Chuki na husda ni Hatari kwa Afya yako.
 
Mimi natamani Waafrika wote na Waarabu wote tungeandamani kwenda US na Ulaya.
US na Ulaya ndiyo waliopora raslimali zetu kutoka Africa na kutuacha maskini!
US na Ulaya ndiyo zimepiga kwa mabomu nchi za Kiarabu na kuharibu nchi zao kwa vita!
US na Ulaya ndiyo zimeua Utamaduni wa Mataifa mbali mbali duniani kwa kutuletea utamaduni wa hovyo kabisa na wa kishenzi mf.Ushoga,Usagaji,nk
Kwa hiyo ni zamu yetu kuhamia huko kufuata Raslimali zetu! Ni haki ya Waarabu kwenda kuanzisha miskiti huko.
Aisee! Wahamiaji wamekuwa Mwiba huko!
 
Back
Top Bottom