Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
🤣🤣🤣Waarabu na waafrika ni viumbe wa hovyo sana wafukuzwe hasa haya mtoto ya shetani ala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Waarabu na waafrika ni viumbe wa hovyo sana wafukuzwe hasa haya mtoto ya shetani ala
27 July 2024
London, Uingereza
MAANDAMANO MAKUBWA LONDON 27 JULY 2024
View attachment 3054505
Maandamano makubwa yafanyika na kuhutubiwa na kiongozi Tommy Robinson mwenye siasa za mrengo wa kulia yaani msimamo mkali dhidi ya wahamiaji na wakimbizi wanaotaka kuleta desturi na mila zao nchini Uingereza. Tommy Robinson anataka raia wa Uingereza walinde kwa wivu utamaduni wao, na mila bila kutetereka akidai wanasiasa wanataka kuua urithi wa asili ya Waingereza
View: https://m.youtube.com/watch?v=2ZxWap96B18
Maandamano hayo ya maelfu ya watu yalikuwa ya amani, ingawa wakati fulani kundi dogo linalopiga waandamaji wenye msimamo mkali dhidi ya wahamiaji kupaza sauti dhidi ya maelfu ya waandamaji wanaomuunga mkono Tommy Robinson.
Polisi wa jiji la London wanakisia watu kiasi ya 10,000 walijitokeza huku wamebeba bendera zinazoashiria historia ndefu ya dola la Uingereza, huku wengine wakibeba bendera zenye jina la Trump n.k
Kwani waarabu ndio walovamia iraq syrua libya nkNdio wakimbizi warudishwe kwao hasa hao waarabu kwanini wasiende uarabuni
USSR
Tupe walau dondoo kukihusuMkitaka kuyaelewa haya mambo tafuteni kitabu kinaitwa future shock cha Alvin toffler.
27 July 2024
London, Uingereza
MAANDAMANO MAKUBWA LONDON 27 JULY 2024
View attachment 3054505
Maandamano makubwa yafanyika na kuhutubiwa na kiongozi Tommy Robinson mwenye siasa za mrengo wa kulia yaani msimamo mkali dhidi ya wahamiaji na wakimbizi wanaotaka kuleta desturi na mila zao nchini Uingereza. Tommy Robinson anataka raia wa Uingereza walinde kwa wivu utamaduni wao, na mila bila kutetereka akidai wanasiasa wanataka kuua urithi wa asili ya Waingereza
View: https://m.youtube.com/watch?v=2ZxWap96B18
Maandamano hayo ya maelfu ya watu yalikuwa ya amani, ingawa wakati fulani kundi dogo linalopiga waandamaji wenye msimamo mkali dhidi ya wahamiaji kupaza sauti dhidi ya maelfu ya waandamaji wanaomuunga mkono Tommy Robinson.
Polisi wa jiji la London wanakisia watu kiasi ya 10,000 walijitokeza huku wamebeba bendera zinazoashiria historia ndefu ya dola la Uingereza, huku wengine wakibeba bendera zenye jina la Trump n.k
Kuna machoko ya kiafrica ety yanaona wazungu wako sahihi yaani kweli sie ni manyaniMimi natamani Waafrika wote na Waarabu wote tungeandamani kwenda US na Ulaya.
US na Ulaya ndiyo waliopora raslimali zetu kutoka Africa na kutuacha maskini!
US na Ulaya ndiyo zimepiga kwa mabomu nchi za Kiarabu na kuharibu nchi zao kwa vita!
US na Ulaya ndiyo zimeua Utamaduni wa Mataifa mbali mbali duniani kwa kutuletea utamaduni wa hovyo kabisa na wa kishenzi mf.Ushoga,Usagaji,nk
Kwa hiyo ni zamu yetu kuhamia huko kufuata Raslimali zetu! Ni haki ya Waarabu kwenda kuanzisha miskiti huko.
Aisee! Wahamiaji wamekuwa Mwiba huko!
Waarabu na waafrika ni viumbe wa hovyo sana wafukuzwe hasa haya mtoto ya shetani ala
wakiristo wkaipigwa mikwaju huko zanzibar wanaukla mchana Ramadhani unakasirika. hao hawaharibu utamaduni wa watu wa Zanzibar?Ndio wakimbizi warudishwe kwao hasa hao waarabu kwanini wasiende uarabuni
USSR
Na hao wamagharibi waondoke uarabuni kwani nani anayemuingilia mwenzake, usa na uk wameua watu wengi sana middle east hujui kwamba marekani kaiingilia kijeshi ,iraq, libya, afghanistan, na sasa syria na hayo machafuko aliyosababisha ndio maana ana moral obligation ya kuwalinda civilians na western world wanalifahamu hilo ndio maana wanawachukua hadi leo na unajua kwamba rwanda bill imepigwa chini na new prime minister, na wanasupport netanyahu akamtwe tu na iccNdio wakimbizi warudishwe kwao hasa hao waarabu kwanini wasiende uarabuni
USSR
Hata hao Waspanish walivipora hiyo Nchi na Visiwa.na huko Argentina wamepora visiwa wakidai ni vyao
Mwarabu sio mtu mweupe,asili ya muarabu ni mweusi,na waarabu weusi wapo nchi za kiarabu.Hata kwenye kisiwa cha scotra,wapo wengi tu,kisiwa hiki kiko Yemen.Hao waliopo nchi za ulaya,unaowaita ni warabu,ni mchanyiko wa wazungu na waarabu weusi.Watumwa wanawake wa kutoka ulaya ya mashariki,na waarabu weusi,ndio wakspatikana huo uzao wa weupe,mnaowaita waarabu,hao ni mchanganyiko wa waarabu weusi(waarabu wa asili) na wazungu,kwa hiyo hao wakimbizi,wako Ulaya,kwenye asili ya bibi zao.Ni hatari
Wakimbizi sasa hivi wana wakati mgumu sana ulaya hasa kutoka uarabuni.
Wazungu hawana shida na wakimbizi sema wakimbizi wa kiarabu ndio wameleta shida, wanataka kuingiza utamaduni wao ulaya .
wameifunga Islamic Centre HamburgCenter ya akina nani imebomolewa Mkuu? Ufafanuzi tafadhali.
Muarabu sio mtu mweupe,mwarabu ni.mweusi,hao unaowaona weupe ni mchanyiko wa watumwa wazungu,wa mashariki ya ulaya,,wanawake wa kizungu,wakaolewa na waarabu weusi(waarabu wa asili),ndio wakazaliwa hao mnaowaita waarabu.Waarabu weusi(waararabu wa asili),wapo nchi za kiarabu,kuna kisiwa kinaitwa Scotra,kiko Yemen,hawa hawakuoana na wazungu,wamebaki ni waarabu wa asili,hawa wakimbizi wako ulaya,ndio asili ya bibi na babu zao.Hakuna muarabu mweusi(mwarabu wa asili),aliyekimbia nchi zao.Ndio wakimbizi warudishwe kwao hasa hao waarabu kwanini wasiende uarabuni
USSR