Maandamano makubwa Tel Aviv, baada ya Wanajeshi wa IDF kuwaua mateka watatu huko Gaza

Maandamano makubwa Tel Aviv, baada ya Wanajeshi wa IDF kuwaua mateka watatu huko Gaza

Ritz kaka yangu nilikuuliza swali huyo mwamba jamaa zombie kwenye avatar picha Yako naye pia ni muislamu?
Na Mimi napenda kufahamu huyo kichaa wa kwenye avatar yako ni wewe ?maana ukitazama avatar yako inajulisha matatizo aliyonayo huyo mtu kichwani.
 
Israel haina wanajeshi inamiliki Wanamgambo wasio na mafunzo Bora hata SUMA JKT sasa Hamas wamewaachia mateka wakiyahudi magaidi wa IDF inaamua kuwaua raia wake 😂😂😂😂
Spokesperson for Al-Qassam Brigades, Abu Ubaida: The enemy continues to gamble with the lives of its captured soldiers in the hands of the resistance, showing no regard for their families' feelings. Yesterday, they deliberately executed three of them, choosing to kill them rather than release them
 
Na Mimi napenda kufahamu huyo kichaa wa kwenye avatar yako ni wewe ?maana ukitazama avatar yako inajulisha matatizo aliyonayo huyo mtu kichwani.
Haki ya nani Adriz mtu wangu unavituko kuniliko. Hahaaha
 
[emoji837][emoji1134] Vyombo vya habari vya Israeli:
Uchunguzi wa awali unaonyesha kuwa "Waisraeli" 3 waliouawa na jeshi la "Israeli" katika kitongoji cha Shujaiya jana WALIPUNGUA BENDERA NYEUPE walipokuwa wakikaribia jengo ambalo vikosi hivyo viliwekwa. Hata hivyo, askari wa jeshi la "Israeli" walifyatua risasi baada ya kuwatambua kama watu wenye uadui, na kusababisha jeraha la mara moja la 2. Wa tatu, aliyejeruhiwa, alikimbilia ndani ya jengo, kisha akaibuka tena akipiga mayowe kwa Kiebrania, "Tuokoe." Hata hivyo, jeshi la "Israeli" lilianza tena kufyatua risasi na kumuua.
Kila mtu wanayemuona wanahisi ni hamasi hii ni aina ya uoga ulipitlilza kwa jeshi
 
Israel haina wanajeshi inamiliki Wanamgambo wasio na mafunzo Bora hata SUMA JKT sasa Hamas wamewaachia mateka wakiyahudi magaidi wa IDF inaamua kuwaua raia wake 😂😂😂😂
Spokesperson for Al-Qassam Brigades, Abu Ubaida: The enemy continues to gamble with the lives of its captured soldiers in the hands of the resistance, showing no regard for their families' feelings. Yesterday, they deliberately executed three of them, choosing to kill them rather than release them
😂😂😂
 
Wakati huo huo IDF ina Wanamgambo wazembe upo uwanja wa vita unalala unakoroma mchana kweupe hata kuji cover wameshindwa wamejianika kama wapo mnadani kilichokuta ni shaba za kitandani toka Kwa Wapiganaji wa Hamas

[emoji1193][emoji1134][emoji599][emoji845] BREAKING: In few moments, scenes of what Al-Qassam camera monitored during the storming of a gathering of occupation soldiers east of juhr Al-Deek in the central Gaza Strip yesterday.

On Al Jazeera News Channel
IMG_20231216_200526.jpg
 
Wakati huo huo IDF ina Wanamgambo wazembe upo uwanja wa vita unalala unakoroma mchana kweupe hata kuji cover wameshindwa wamejianika kama wapo mnadani kilichokuta ni shaba za kitandani toka Kwa Wapiganaji wa Hamas

[emoji1193][emoji1134][emoji599][emoji845] BREAKING: In few moments, scenes of what Al-Qassam camera monitored during the storming of a gathering of occupation soldiers east of juhr Al-Deek in the central Gaza Strip yesterday.

On Al Jazeera News Channel
Wayaj
Watoto wadgo hawa😂

Walivyokuwa wajinga wanafunga tent wanalala huku wanachezea laptop kilochotokea Natanyahu na wenzake ni msiba.
 
Back
Top Bottom