Maandamano makubwa yafanyika Morocco kutaka kufutwa mahusiano na Israel

Maandamano makubwa yafanyika Morocco kutaka kufutwa mahusiano na Israel

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Japokuwa Morrocco wamekuwa wakiandamana mara kwa mara dhidi ya Israel, lakini maandamano ya jana disema 24 ndiyo makubwa zaidi kufanyika kwa ajili ya kuitaka nchi yao kusitisha mahusiano yote yaliyokubaliwa mwaka 2020.

Maandamano hayo yaliyosimamiwa na chama cha Kiislamu cha Al adl wal ihsan yaliwakushanya watu zaidi ya elfu kumi kwenye jiji la Rabat.

Sababu ya kuitishwa upya kwa maandamano hayo na kuongezeka idadi ya waandamanaji ni kutokana na kushuhudiwa kwa madhila zaidi ya wapalestina kutokana na mashambulizi yanayofanywa na Israel na hasa vifo kwa ndugu zao hao wa Kipalestina.

1703477103205.png


Nchi ya Morocco ndiyo inayopakana zaidi na mfereji huo wa Gibraltar na meli huwa zinapita masafa mafupi sana kutoka ufukwe wa bahari inayotenganisha nchi hiyo na Spain.

1703477800316.png

1703478701212.png
 
Kwanini mahusiano yafutwe ambapo kulingana na wewe pamoja na wavaa vipedo, misuli na makobazi we Zaki ni kwamba WAZAYUNI ndio wanaopokea kichapo huko Gaza? Huu si utakuwa uonevu. By the way katika watawala wanaijitambua ni pamoja na mfalme wa Morocco, UAE, Bahrain, Jordan, Saud Arabia na Egypt.Kuna faida kubwa kuwa mshirika wa Israel kuliko kuwa adui . Ugaidi WA Iran, Palestine na Hezbollah wajulikana waziwazi!
 
Kwanini mahusiano yafutwe ambapo kulingana na wewe pamoja na wavaa vipedo, misuli na makobazi we Zaki ni kwamba WAZAYUNI ndio wanaopokea kichapo huko Gaza? Huu si utakuwa uonevu. By the way katika watawala wanaijitambua ni pamoja na mfalme wa Morocco, UAE, Bahrain, Jordan, Saud Arabia na Egypt.Kuna faida kubwa kuwa mshirika wa Israel kuliko kuwa adui . Ugaidi WA Iran, Palestine na Hezbollah wajulikana waziwazi!
Hizo zako ni dhana tu
 
Japokuwa Morrocco wamekuwa wakiandamana mara kwa mara dhidi ya Israel, lakini maandamano ya jana disema 24 ndiyo makubwa zaidi kufanyika kwa ajili ya kuitaka nchi yao kusitisha mahusiano yote yaliyokubaliwa mwaka 2020.

Maandamano hayo yaliyosimamiwa na chama cha Kiislamu cha Al adl wal ihsan yaliwakushanya watu zaidi ya elfu kumi kwenye jiji la Rabat.

Sababu ya kuitishwa upya kwa maandamano hayo na kuongezeka idadi ya waandamanaji ni kutokana na kushuhudiwa kwa madhila zaidi ya wapalestina kutokana na mashambulizi yanayofanywa na Israel na hasa vifo kwa ndugu zao hao wa Kipalestina.

View attachment 2852156

Nchi ya Morocco ndiyo inayopakana zaidi na mfereji huo wa Gibraltar na meli huwa zinapita masafa mafupi sana kutoka ufukwe wa bahari inayotenganisha nchi hiyo na Spain.

They do it to their detriment.
 
Japokuwa Morrocco wamekuwa wakiandamana mara kwa mara dhidi ya Israel, lakini maandamano ya jana disema 24 ndiyo makubwa zaidi kufanyika kwa ajili ya kuitaka nchi yao kusitisha mahusiano yote yaliyokubaliwa mwaka 2020.

Maandamano hayo yaliyosimamiwa na chama cha Kiislamu cha Al adl wal ihsan yaliwakushanya watu zaidi ya elfu kumi kwenye jiji la Rabat.

Sababu ya kuitishwa upya kwa maandamano hayo na kuongezeka idadi ya waandamanaji ni kutokana na kushuhudiwa kwa madhila zaidi ya wapalestina kutokana na mashambulizi yanayofanywa na Israel na hasa vifo kwa ndugu zao hao wa Kipalestina.

View attachment 2852156

Nchi ya Morocco ndiyo inayopakana zaidi na mfereji huo wa Gibraltar na meli huwa zinapita masafa mafupi sana kutoka ufukwe wa bahari inayotenganisha nchi hiyo na Spain.

Sasa maandamano ya nini si mmesema wanajeshi wa Israel wanauawa kwa wingi na Hamas Sasa mbona mnaitisha maandamano
 
Sasa maandamano ya nini si mmesema wanajeshi wa Israel wanauawa kwa wingi na Hamas Sasa mbona mnaitisha maandamano
Kufa wanajeshi ni kitu kingine na kufuta uhusiano ni kitu kingine kwenye lengo lilelile la kutaka kuumdwa kwa taifa la Palestina.
Wewe sijui unataka kitu gani ?
 
Japokuwa Morrocco wamekuwa wakiandamana mara kwa mara dhidi ya Israel, lakini maandamano ya jana disema 24 ndiyo makubwa zaidi kufanyika kwa ajili ya kuitaka nchi yao kusitisha mahusiano yote yaliyokubaliwa mwaka 2020.

Maandamano hayo yaliyosimamiwa na chama cha Kiislamu cha Al adl wal ihsan yaliwakushanya watu zaidi ya elfu kumi kwenye jiji la Rabat.

Sababu ya kuitishwa upya kwa maandamano hayo na kuongezeka idadi ya waandamanaji ni kutokana na kushuhudiwa kwa madhila zaidi ya wapalestina kutokana na mashambulizi yanayofanywa na Israel na hasa vifo kwa ndugu zao hao wa Kipalestina.

View attachment 2852156

Nchi ya Morocco ndiyo inayopakana zaidi na mfereji huo wa Gibraltar na meli huwa zinapita masafa mafupi sana kutoka ufukwe wa bahari inayotenganisha nchi hiyo na Spain.

wapalestina kamatiweni hapo hapo👀
 
King Hassan II apongezwa kwa kulinda wayahudi


View: https://m.youtube.com/watch?v=p1t70eClX3I

Dola yoyote madhubuti kama ya ufalme wa Morocco hufuata utawala unaowalinda raia wake wote bila kuwabagua kwa misingi ya imani, asili au rangi. Na ndiyo siri ya dola kuweza kuwepo kwa,miaka mingi kuepuka changamoto chokochoko na mihemuko ya wengi kutaka kuwakandamiza wachache.

Historia inaonesha nchi, taifa au ufalme unaokuwa madhubuti kuwalinda raia zake wote, dola hiyo au utawala hudumu kwa miaka na karne nyingi. Ila Dola au taifa au utawala ukiendeshwa kwa mihemuko ndiyo unaharakisha anguko lake kwa kuonesha udhaifu kukubali ubaguzi.
 
Back
Top Bottom