Maandamano makubwa yaitikisa Ufaransa

Maandamano makubwa yaitikisa Ufaransa

Umekua weak sana mkuu hapa ni kwetu mm wasingenifanyia namna hio kabisa
Hahahahahahaaaaaaaaaa, Leo nimepita ubalozi wa Ufaransa pale opposite na Red cross, sasa nikawa nimepokea simu vibaya wakadhani napiga picha, weeee, nimeitwa na ka mlinzi flani yaani nimehojiwa na simu ikapekuliwa nikajua kweli hii nchi wako stable, kumbe tumbafu tu huko kwao kimeshanuka, shwaini hao....
 
Macron anaingika na mambo ya Ukraine wakati wananchi wake wana malalamiko yasiyokoma
 
Back
Top Bottom