Elections 2010 Maandamano- uchaguzi tanzania jumamosi nov 6washington dc 2010, 10:am (white house)

mlitegemea muibe na kuwakatili wapenda mabadiliko na watu wote waseme amen? Mmeliwa na huo ni mwanzo tu.

tupatieni vibali maana mmeziti kwa vibali, barua za kutunga kuibiwa wakati huna cha kuibiwa, wezi wakubwa tunasubiri ndoa ya rais wenu,, tutekeleze ilani ya ccm kwa maendeleo, kidumu ccm
 
Mlitegemea muibe na kuwakatili wapenda mabadiliko na watu wote waseme amen? Mmeliwa na huo ni mwanzo tu.
Tatizo mmechelewa sana, na sijui kwa nini mmeshindwa kujifunza kwa tokea 1992... wakati mkijiandaa na kuandamana sie tunashereheka na Ushindi!
 
tupatieni vibali maana mmeziti kwa vibali, barua za kutunga kuibiwa wakati huna cha kuibiwa, wezi wakubwa tunasubiri ndoa ya rais wenu,, tutekeleze ilani ya ccm kwa maendeleo, kidumu ccm

Nani akupatie kibali? kibali cha nini?

Kajifunze kwanza kutype ndio uje.
 
Mimi nakataa Kikwete siyo chaguo la Watanzania

1.Sikumpigia kura yangu. Ndugu zangu wa karibu na marafiki zangu wengi hawakuwa wakimtaka na walikiri kutompigia kura
Ni kiherehere chako!
 
Tatizo mmechelewa sana, na sijui kwa nini mmeshindwa kujifunza kwa tokea 1992... wakati mkijiandaa na kuandamana sie tunashereheka na Ushindi!

Of course mwizi siku zake 40..zenu bado hazijatimia...ila karibia zitafika 40..soon
 

uchaguzi umekwisha tugange yajayo
kikwete rais wetu wote..............................................
 

uchaguzi umekwisha tugange yajayo
kikwete rais wetu wote..............................................
akha! be raisi wako wewe baba yako na mama yako mi wala mi raisi wangu ni slaa Dr wa ukweli
 

uchaguzi umekwisha tugange yajayo
kikwete rais wetu wote..............................................

Huu ndio upuuzi wa watz wengi..wanadhani demokrasia ni election tu..kwendeni zenu motoni na dhana zenu mfu.
 
Hongereni! Najua utetezi wenu si kwa ajili ya nafsi zenu bali ni juu ya masikini, wajane, watoto, walemavu, walalahoi na wote wasiojiweza in Tanzania, ambao kwa miaka 50 hawana mwelekeo wala matumaini ya kutokana na hali zao.
 
Of course mwizi siku zake 40..zenu bado hazijatimia...ila karibia zitafika 40..soon
Kwa hali halisi iliyotokea mwaka huu, Upinzani utakuwa na hali ngumu kufikia 2015, kwani CCM sio chama cha kubweteka!
 
Hongereni! Najua utetezi wenu si kwa ajili ya nafsi zenu bali ni juu ya masikini, wajane, watoto, walemavu, walalahoi na wote wasiojiweza in Tanzania, ambao kwa miaka 50 hawana mwelekeo wala matumaini ya kutokana na hali zao.
Bado tusisahau suala la Kujitegemea, ni vema kila mwananchi kujua hili kwani ndio njia sahihi ya kufikia malengo binafsi kwa kila mtanzania. Aidha kwa upande mwingine huu ni wakati mzuri kwa wananchi kushiriki moja kwa moja katika kutatua matatizo yao ya msingi.
 

Ndio ameisha kuwa sasa, huna la kufanya na leo hii yupo anaapishwa kwa mujibu wa Katiba ambayo ndiyo sheria mama. Ww hukumchagua , ila wengi wamemchagua kwa uchaguzi huru na wa haki ndio maana amepata hizo 61.17% huo ni USHINDI WA SUNAMI AU KISHINDO WAWEZA KUUITA.
 
kusema ccm si chama cha kubweteka nisawa na ni sawa na kugonga ukuta
 
Watumwa wakubwa nyie, Oboma ndio baba yenu? Tz ni nchi huru aichaguliwi rais na Marekani. Mimi niko Washngton na si shiriki kwenye upuuzi wenu.
Mafisadi kama wewe hatuwahitaji washiriki. Tunataka MATAIFA yasikie, sio tu Obama kama ufinyu wa .....yako unavyodhani.
 
JK amesaidiwa na dola, serikali, na media. Bila shaka mhimili mwingine yaani Mahakama umejipanga pia kumsaidia. Nguvu ya Umma= Uhuru
 

Tunaomba kibali kopy yake hapa na pia hizo number za simu mbona kama ni mtu kaamua kuzitaja? what if i am calling while I am outside USA-then what is the code number? kama vile sizpati?? na useme ni mobile au residential kamanda? Acheni upigaji as those numbers does not exist guys. Msiwadanganye watu kwani huwa twataka ukweli wa haswa. Nashauri hii thread ifungwe kabisa na MD.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…