Elections 2010 Maandamano- uchaguzi tanzania jumamosi nov 6washington dc 2010, 10:am (white house)

Code number za Marekani huzijui? I mean country code
 
jamani twendeni mbele, turudi nyuma,
tujuze tunasikia mandamano maandamano!! haya maandamano yanakibali au hayana tujue kama hayana tubebe maji ya kunawa uso kabisaaaaaaa!!!! maana..............!!!!!!
 

Andamana mwenyewe, hakuna anayetaka upuuzi wako. LEAVE US ALONE PLEASE!
 
Watumwa wakubwa nyie, Oboma ndio baba yenu? Tz ni nchi huru aichaguliwi rais na Marekani. Mimi niko Washngton na si shiriki kwenye upuuzi wenu.
Mbona president wenu alikwenda kunywa chai na obama?
 

Inasikitisha sana kulazimishiwa uongozi na kunyimwa hata haki ya kikatiba ya kuandamana kupinga jambo lililo wazi kama kuibiwa kura (haki nyingine ya kikatiba)!

Mungu awalinde mkitetea nchi yenu!
 
Waliopiga kura 8,626,283 = 42.84%

Well said!
 
Samahani mkuu
kufanikiwa nini tena!!?? maana topiki imekuwa ndefu mno
 
maandamano yalifanyika a bado yanafanyika; kama washington time 10am huku ni saa kumi na moja sasa ni saa mbili kasorobo therefore in not so many words what happened
 
what happened brother any feedback,
 
Je ntakuwa nakosea kuamini zile asilimia zinazosemwa hawajajitokeza kupiga kura ndizo zilizokuwa za dr slaa?
 
Jamani maandamano yalikwenda vipi?
 
Sasa kama upo hapa Marekani kwa fedha ya EPA utakuwa ffalla sana kuja kuandama. Ni heri umeamua kukaa nyumbani na kuchoma soseji na Budwiser. Maandamano ni kwa wale wanaopinga tu.
Kuandamana hapa DC si utumwa kwa sababu mtu unapinga pale ulipo. Siyo Oh! mimi ningekuwa Bongo wangenitambua.
 

kaka mbona hutoi feedback, hatukuwaona hata kwenye news, au nawewe ndio walewale waliomshabikia SLAA na hawakutokeza kupiga kura!!! unalalamika kura zimeibiwa wakati tar31 haukuwakilisha??? usituchakachue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…