hahahahaaa kweli ripoti iliyotoka juzi kuhusu ugonjwa wa akili we umo aisee!!!utasomaje chuo kama huna mkopo mtoto wa familia maskini
Maandamano ni haki ya mtu huombi kibali bali unatoa taarifa kuomba ulinzi!!!tatizo watanzania ni mambumbumbu mpaka basi hayajui haki zao
Nani Muoga???Toa Sehemu Ya Sentensi Niliyoonesha Uoga wangu.
Ni dhahiri inaumiza mabilioni ya fedha za walipa kodi wa nchi hii zinatumika katka matumizi yasyo rasmi, zimetumika pesa nyingi sana katika kamati ya kukusanya maoni ya rasmu ya katiba mpya, mwsho wa siku hakuna kitu kilichofanyika, Maelfu ya wanafunzi wanakosa mkopo wa elimu ya juu bila sababu ya msingi! Tukutane asubuhi ya Jumatano heslb! Julisha mwenzako! Solidarty forever!
Nadhani haya ndiyo maandamano ya muhimu sana.
UKAWA wanasemaje kuhusu haya maandamano.
Mngefanya kwanza mkutano mkubwa Jangwani ili wananchi nao wajue huo ubaguzi wa wengine kupata na wengine kukosa.
Ule ni mkopo kwa nini usitolewe kwa kila mwanafunzi aliyeomba?
Ngoja tuone kama waziri kivuli wa UKAWA kama atakuwa kwenye haya maandamano haya ndio maandamano yenye tija na hapa ndipo pa kupima unafiki wa vijana mambo yao msingi wanajitenga yakija maandamano yasio na kichwa wala miguu ndo wa kwanza kuandamana
Kweli kabsa Mtamile, haya ni maandamano ya amani, syo vurugu! Mi nataka watuambie kwanini mtoto wa maskini anakosa mkopo ilihali wanavigezo halali ya kupata! Wanasiasa wanashindwa kukosa uzalendo na kufanya madudu bungeni, wakidhani wanachi hawashudii kitoronto wanachocheza baada ya kuweka kibindoni kila siku tsh 300000 km Posho ya siku! Hakuna kuogopa, dai haki yako! Solidarty forever!
Najua wapo wanao jidanganya kuwa kwa vile wamepitia jeshi hata wakiandamana hawata fanywa kitu lakin tambuenii hii nchi wapo wakubwa walio organize maandamano lakini siku ya maandamano walikuwa south africa....walijua nn kingewakuta cku ya maandamano na kuwaacha wale wasio jielewa kuundamanaa
Mnaweza mkaandamana watu 200 na mabadiriko yakafanyika kwa watu wa 5 ambao hata kwenye maandamano hawakuwepo coz mm namini hakutakuwa na kuandika majina kwa walio hudhuria maandamano.......na mkumbuke wakirejea kwenye maandishi nyinyi mtakuwa na makosa coz hakuna MKATABA KATI YA MUOMBAJI NA MTOAJI KUWA ukiomba mkopo ni lazima upateee.....mda mnao poteza na hela za daladala mnazo poteza na hela za maji mnazopoteza ni heli ungekaa nyumbani na familia ako mkajadili nn kifanyike kupata pesa mtu kwenda chuo...... lakin co huo upuuzi wa kuandamana while hakuna cha kubadirika.....yalishindwa maanda mano makubwa ya kupinga katiba kitu muhimu nchin sembuse mkopo....guyz akili za mwenzio changanya na zako walikosa watu kipnd cha nyuma mkopo lakin wapo kimya leo hii muwe nyinyi
Pengine huyu ambaye leo ana organize mkopo pengine hata hakuomba mkopo au kapewa kabisa na pengine asiwepo kwenye maandamano.....lakini wengne walivyotoa majina ya walio kosea kujaza form hamkutaka kwenda kubadirishaaaaaa.....wengine hata application hamkufanya leo hii unataka kuandamana.....am sure 100% maamuzi ya nchi hii huwa hayarudi nyuma kamweeeeeeee......waliandamana kupinga mauaji ya wandishi wa habari lakin nthng has bn done......nyieeeeee
Nendeni wapewe wasio hudhuria maandamano na ww kapoteze mda wako akili ya mwenzio changanya na yako
Ol da best
Najua wapo wanao jidanganya kuwa kwa vile wamepitia jeshi hata wakiandamana hawata fanywa kitu lakin tambuenii hii nchi wapo wakubwa walio organize maandamano lakini siku ya maandamano walikuwa south africa....walijua nn kingewakuta cku ya maandamano na kuwaacha wale wasio jielewa kuundamanaa
Mnaweza mkaandamana watu 200 na mabadiriko yakafanyika kwa watu wa 5 ambao hata kwenye maandamano hawakuwepo coz mm namini hakutakuwa na kuandika majina kwa walio hudhuria maandamano.......na mkumbuke wakirejea kwenye maandishi nyinyi mtakuwa na makosa coz hakuna MKATABA KATI YA MUOMBAJI NA MTOAJI KUWA ukiomba mkopo ni lazima upateee.....mda mnao poteza na hela za daladala mnazo poteza na hela za maji mnazopoteza ni heli ungekaa nyumbani na familia ako mkajadili nn kifanyike kupata pesa mtu kwenda chuo...... lakin co huo upuuzi wa kuandamana while hakuna cha kubadirika.....yalishindwa maanda mano makubwa ya kupinga katiba kitu muhimu nchin sembuse mkopo....guyz akili za mwenzio changanya na zako walikosa watu kipnd cha nyuma mkopo lakin wapo kimya leo hii muwe nyinyi
Pengine huyu ambaye leo ana organize mkopo pengine hata hakuomba mkopo au kapewa kabisa na pengine asiwepo kwenye maandamano.....lakini wengne walivyotoa majina ya walio kosea kujaza form hamkutaka kwenda kubadirishaaaaaa.....wengine hata application hamkufanya leo hii unataka kuandamana.....am sure 100% maamuzi ya nchi hii huwa hayarudi nyuma kamweeeeeeee......waliandamana kupinga mauaji ya wandishi wa habari lakin nthng has bn done......nyieeeeee
Nendeni wapewe wasio hudhuria maandamano na ww kapoteze mda wako akili ya mwenzio changanya na yako
Ol da best