H.M.MUYANGO
Senior Member
- Mar 6, 2014
- 110
- 9
Ona sasa unavyokuwa mwoga na kufundsha wenzako uwoga ktk kudai haki zao za msingi! Dhambi iliyombaya katika kutafuta haki yako ni uwoga!
Yaani kuna wa2 wanawaza km wamefungiwa kwenye chungu, wewe Mwanafunzi amechaguliwa mjini hapa na hakuna mkopo aliopewa! Wewe unafikiri mwanafunzi mtoto wa maskini huyo atasomea nini?! Acha kuwaza kama umebanikwa wewe Danya!
Hakuna kitu unaelewesha hapa wewe Danya, mimi nafikiri wewe una zile akili za kunguni yenye dhambi ya uoga, cdhani kama unawaza vizuri na halmashauri yako yankichwa inakushauri vizuri, sikulaumu maana pengne nawe ni mmoja wa wanaokula kodi ya wananchi maskini kwa kugawana posho huku Mwanafunzi wa shule ya msingi akikaa chini sakafuni sababu eti madawati hakuna na wakati nchi imejaa misitu! Hakuna kitu unaweza kunieleza wewe maana ni dhahiri unatumika pasipo kujielewa! Wewe uliona wapi nchi ikaendelea pasipo kuwekeza katika sector ya elimu! Hii SIRIKALI (serikali) inatuzuga hapa kwa kujifanya inawapa walimu kipaumbele wakati mazingira ya Mwalimu husika ya kufanyia kazi ni mabovu, juzi wanakuja na formula ya kuwakata elfu 10 walimu ili wajenge maabara, kwanini wasianze kujikata wao katika posho zao za laki 300000 wanazogawana kwa siku! Hamna kitu unaongea wewe Danya! Waliokutuma waambie kwamba wamekuagiza utumbo! Unatoa quote za uwoga, eti akili za kuambiwa changanya na zako! Nyamaza kama huna hoja za msingi, si unawakilisha utumbo!
Sawa Mkuu Mpatanishi! Lazima wafanye consideration maana hai2ingii akilini pesa wanazokula, wanakaa kwenye viyoyozi, wanaendesha magari mazuri na kugaia watoto wao mikopo huku mtoto wa maskini akiambulia pa2pu, hamna ki2 chochote wanaweza ku2ambia 2kaelewa mbali na kugawa mkopo wa2 2kasome!
Kama tutashindwa kudai hata haya yanayotuhusu itakua kuzisaliti nafsi zetu, sioni mantiki ya bodi kuwa na jengo la mabilioni lenye viyoyozi hadi kwenye makorido huku whusika wakitembelea magari ya anasa kwa pesa ya kodi ya mtanzania wakati huo huo watu tunakosa mikopo. Najiuliza sana kwa nini wengine wapate 100% tena kozi non priority halafu mwenye kozi priority, yatima hakupewa hata 0%.
Huyu atakua mjinga fulani tu, achana nae. Then kuna dada pale bodi alikua kavaa gauni la chui chui hivi baada ya mkurugenzi kupigwa maswali. Wakawa anaondoka na mkurugenzi wake wanaingia ndani nikamfuata yule dada namsimamisha akajibu mbovu yan ilikua kidogo nimzabe makofi kwa hasira mana ameonesha wazi dharau ya hali ya juu ni Mungu tu alinipa moyo wa uvumilivu, mara vijana wakawa wanamfuata mkurugenzi kwa speed nikasikia askariiii zuia hawa. wakambilia ofisini kwao. Kesho ikibidi tutalala pale pale.Si unaona unavyo-post km m2 asijielewa! Mimi nina wasiwasi wa uelewa wako maana huenda ikawa ww ni kama huyo aliyesema nami nasema upigwe tu! Weka kwenye mizani maneno unayonena maana naona unanena u2mbo! Mzazi kunianzisha form 1 inahusu nini na kupewa mkopo wa elimu ya juu! Ww umesahau $133 million za EPA, Mikataba mbalimbali ya gesi na madini kama Meremeta $155, Radar $42 million, Richmond $100 miliion, Mabilion ya Uswisw $$579, ESCrow $122 million ) juzi kwenye bunge la katiba wanagawana posho ya 300000 kwa siku! Hivi wewe unaweza ku2ambia nini kuhusu kukosa mkopo kwa Mwanafunz wa Elimu ya juu?! Hamna ki2 unaweza ku2ambia ww, nenda kawaambie walioku2ma wamekuagiza u2mbo au kama utakuwa umeji2ma mwenyewe ndyo utakuwa umepotea njia kabsa!
Nendeni mkadai mkopo,najua ugumu uliopo chuo hususani pale utakapokuwa umekosa mkopo,ila ucjidanganye kuwa police hawataweza kuwachapa,depo waliwadanganya kuwa police ni maraia?jaribuni kurusha ngumi mdhihirishe unanga wenu 3months?ucjidanganyeLabda waje jw lakini wakija wale wa CCP tutaenda nao sambamba mbona
Nendeni mkadai mkopo,najua ugumu uliopo chuo hususani pale utakapokuwa umekosa mkopo,ila ucjidanganye kuwa police hawataweza kuwachapa,depo waliwadanganya kuwa police ni maraia?jaribuni kurusha ngumi mdhihirishe unanga wenu 3months?ucjidanganye
Huyu atakua mjinga fulani tu, achana nae. Then kuna dada pale bodi alikua kavaa gauni la chui chui hivi baada ya mkurugenzi kupigwa maswali. Wakawa anaondoka na mkurugenzi wake wanaingia ndani nikamfuata yule dada namsimamisha akajibu mbovu yan ilikua kidogo nimzabe makofi kwa hasira mana ameonesha wazi dharau ya hali ya juu ni Mungu tu alinipa moyo wa uvumilivu, mara vijana wakawa wanamfuata mkurugenzi kwa speed nikasikia askariiii zuia hawa. wakambilia ofisini kwao. Kesho ikibidi tutalala pale pale.