fd fighter
New Member
- Oct 15, 2014
- 3
- 0
Kasugugu historia ysko ina2funfidha uoga! Nyamaza, pointsvza msingi huna!
Kila la heri hakuna kurudi nyuma mpaka kieleweke muda wa ukombozi umesharibia
Maandamano yalifanyika na waandamanaji waliambiwa waorodheshe majina yao na huenda wakapewa mikopo source: HABARI24 BLOG: WANAFUNZI WALIOKOSA MIKOPO WAANDAMANA HADI WIZARANI KUDAI HAKI YAO
wanafunzi hao wamefanya vizuri saaaaaaana.
hata kama hawakuonana na viongozi waliowataka ila wameonyesha nia na lengo lao. Mwenyezi Mungu azidi kuwatetea na kuwasimamia.
Nimefurahi sana.
Hata wasipopata mkopo wao lakini ndo wamefungua mlango wa wadogo zetu walioko chini kutengewa bajeti ya kutosha
HONGERA SANA VIJANA.
There z phase 2 to come, big up for all who joined da peace layout
which phase guy
Sio solution
tarehe 19, mida ya asubuh mheshimiwa Rais Kkwete atakuwepo mlimani city kuongea na wanafunzi wa vyuo vikuu, source TIA notesboard.