Maandamano ya amani kwa waliokosa mkopo HESLB tarehe 15 October

Maandamano ya amani kwa waliokosa mkopo HESLB tarehe 15 October

Ni dhahiri inaumiza mabilioni ya fedha za walipa kodi wa nchi hii zinatumika katka matumizi yasyo rasmi, zimetumika pesa nyingi sana katika kamati ya kukusanya maoni ya rasmu ya katiba mpya, mwsho wa siku hakuna kitu kilichofanyika, Maelfu ya wanafunzi wanakosa mkopo wa elimu ya juu bila sababu ya msingi! Tukutane asubuhi ya Jumatano heslb! Julisha mwenzako! Solidarty forever!

hii serikali ya magamba ni ya kuogopa kama ukoma! matatizo yote yanasababishwa na serikali dhaifu ya CCM chini ya rais dhafu bw kuchekacheka.
 
Back
Top Bottom