Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Yaani ukiyasema haya mbele ya Mbowe atakukandika makofi mpaka maji uyaite mmmah! Ahahahahaha!!!Maboya tu yale, kama wao ni miamba si wangeacha silaha na makorokoro mengine wakaenda kumkamata wakiwa mikono mitupu?
Kwa akili yako, nani boya kati ya wanaume zaidi ya 20 pamoja na silaha kwenda kumkamata mwanaume mmoja asiye na silaha.
Jeshi la Polisi limetoa taarifa rasimi ya kuwakamata watu 14 ikiwemo baadhi ya Viongozi wa Chadema, Mwenyekiti Freeman Mbowe, Lissu na Lema, ambapo wamedai kuwa viongozi hao wamekamatwa kufuatia mpango wa maandamano.
Wanawashikiria kwa sasa wanahojiwa kwa ajili ya hatua za kisheria.
Kamanda Muliro ametangaza kuwakamata viongozi mbalimbali wa CHADEMA ikiwemo Freeman Mbowe, Tundu Lissu pamoja na Godbless Lema.
Soma pia: LIVE Yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024
Mihapase kwetu humaanisha mchonyo wa mamba!Wacha wanyoooshwe wanafikiri nchi haina mamlaka ?
Hili chawa yaani daaaah...Hao adhabu yao ni mahakamani halaf kila kesi ikitajwa zitolewe sababu za kuahirisha warudi rumande, wakili mtata wa serikali Wankyo Simon apewe kazi hiyo.
Tanzania is a sovereign country, nobody can force us what to do.
Asante sana IGP Wambura, Mdude Nyagali sijamuona kabisa leo
Hii ni kazi nzuri sana ya Jerry Silaa chini ya Tcra! .Makofi kwa Jerry! Mama alilenga!!Jeshi la Polisi limetoa taarifa rasimi ya kuwakamata watu 14 ikiwemo baadhi ya Viongozi wa Chadema, Mwenyekiti Freeman Mbowe, Lissu na Lema, ambapo wamedai kuwa viongozi hao wamekamatwa kufuatia mpango wa maandamano.
Wanawashikiria kwa sasa wanahojiwa kwa ajili ya hatua za kisheria.
Kamanda Muliro ametangaza kuwakamata viongozi mbalimbali wa CHADEMA ikiwemo Freeman Mbowe, Tundu Lissu pamoja na Godbless Lema.
Soma pia: LIVE Yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024
Serekali ya samaki!!Wacha wanyoooshwe wanafikiri nchi haina mamlaka ?
Hao hakuna haja ya kuwapeleka mahakamani, watatoka mapema kwa technicalities huko mahakamani!!Hao adhabu yao ni mahakamani halaf kila kesi ikitajwa zitolewe sababu za kuahirisha warudi rumande, wakili mtata wa serikali Wankyo Simon apewe kazi hiyo.
Tanzania is a sovereign country, nobody can force us what to do.
Asante sana IGP Wambura, Mdude Nyagali sijamuona kabisa leo
Na wwe kwa nini utake kuandamana bila ya sababu ya msingi wakati kuna katazo la Polisi!!??Mnahangaika duniani kote kupata wahisani kuwapa misaada ya maendeleo, kila siku kiguu na njia.
Lakini kwa rasilimali hizohizo chache mnazitumia kwa mabilioni kugharamia jeshi la polisi kuendesha operesheni ya kuzuia maandamano ili tuu Waziri wa mambo ya ndani na IGP waliotakiwa kujiuzulu wasijiuzulu.
Hivi mnadhani wangejiuzulu na uchunguzi wa wazi ikiwa na kuwakamata na kuwahoji polisi wanaotajwa hayo maandamano yangeitishwa?
Mnatumia vibaya rasilimali za nchi kisha mkienda vijijini na kukuta shule hata Zahanati hazina vyoo eti mnashangaa!
Kwa mwanadamu mwenye maarifa KUPANGA NI KUCHAGUA, nyie mmekosa maarifa.
Kama huioni hiyo sababu ya msingi inayo sababisha hayo maandamano basi huna tofauti na ng'ombe wa kufugwa asiye tumia akili yaani ni hayawani!Na wwe kwa nini utake kuandamana bila ya sababu ya msingi wakati kuna katazo la Polisi!!??
Wenye akili wanakusalimuSijui kwa nini hawakumnasa vibao?