Maandamano ya CHADEMA Mbeya: Lissu asema hatujamkimbia Makonda kwenye Mdahalo, ni jambazi anatakiwa kuwa gerezani

Mwashamba yupo kwenye kilio kafatwa na watoto wa mjini wakamwambia kuwa Kuna teuzi inakuja ila atoe kiasi flani jamaa kajiloki kaachwa solemba hana hamu
Kwa kilichotokea jana Mbeya ninauhakika gagula wa Mbeya atamtema, atagundua anamdanganya la sivyo kwanini akimbilie milimani Kawetere!
 
Hao ni wavuta bangi hamna akili hapo. Mara mzanzibari, hana adabu huyo mbwa. Mara watanganyika nchi ambayo haipo kwenye ramani ya dunia. Ni zuzu tu ndio atawasikiliza.
 
Hao ni wavuta bangi hamna akili hapo. Mara mzanzibari, hana adabu huyo mbwa. Mara watanganyika nchi ambayo haipo kwenye ramani ya dunia. Ni zuzu tu ndio atawasikiliza.
Tanganyika haipo kwenye ramani ya dunia? Mbona wilaya ya Tanganyika ipo, uliwezaje kujiunga na Jamii Forum wakati elimu yako ni ya madrasa!
 
Lisu ni tofauti sana na Mbowe,
mara nyingi Mbowe anaongea point kwenye mambo husika ya kitaifa kwa ufafanuzi mpaka watawala wanahisi lipo tatizo mahalla.

balaa sasa ni Lisu litakalo kuja mdomoni ndio hilohilo,akisikia maumivu ya mguu juu ya jukwaa anaruka na Magufuli.
 
Mwenyekiti wa CHADEMA, Mh. Mbowe amewashukuru Waandamanaji wa Mbeya kwa kusema "Mungu wa Mbinguni awabariki sana watu wa Mbeya"

Nami Johnthebaptist na ndugu yangu mzee Mgaya kwa niaba ya Kanda ya Nyasa tunasema "Amina"

Yesu Kristo alisema Wabarikini watu muingiapo na mtokapo. Ahsante sana Mh. Mbowe 😀
 
Chairman alimfurahisha sana Dr.W.P.Slaa sikuile kwa kumpatia chance ya kuzungumza na wana mbeya wachache walioshiriki maandamano mdororo, Lakin pia alimdisapoint sana puppet baada ya kumbania kuzungumza akati alikua amejiandaa vizuri kichizi kubwabwaja...

Chairma anatumia mbinu za kisayansi sana kumkwepa kibaraka
 
Sasa na ccm watasemeje hapo
 
CHADEMA nao wameiga matarumbeta ya CCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…