Yawezekana akawa "overrate" kama ulivosema lakini angalau he stood for something, he fights and giving knowledge to the people kitu ambacho sina hakika kama wewe kwa namna yoyote ile unao huo ubavu wa kufanya au kutenda kama yeye.umemu ovarrate sana huyu jamaa mpaka kumfungulia uzi wakati sio wa kihivyo.
Tate Mkuu nakuvua nyota moja.π
Ni suala tu la muda. Ukiendelea kuzisikiliza hotuba za Makamanda utagundua huko uliko umepotea. Hicho chama chenu ni cha Kisultani. Na kwa bahati mbaya, wewe hutokei kwenye familia ya hao Masultani.πππ haiwezi ikatokea hata kwa bahati mbaya mimi nikawa mwana CHADEMA ,chama kilichokosa nuru,Dira,sera na ajenda za kueleweka zaidi ya kupigania maslahi yao binafsi ya kuwaneemesha kama vile ambavyo kwa sasa chama linapigania uwepo wa wabunge wawili katika kila jimbo.
Mimi nitaendelea kuiunga mkono CCM na serikali yake ya CCM chini ya uongozi shupavu, imara na madhubuti wa mzalendo wa kweli Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika,, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.
Mbeya ni salaama katika mikono salama ya Dkt Tulia Acksoni Mwansasu, Rais wa umoja wa mabunge Duniani ,dada wa Taifa na msomi Nguli wa sheria kuwahi kutokea nyanda za juu kusini.
Hakuna mwana Mbeya mwenye akili Timamu anayeweza kupoteza kura yake kuipa CHADEMA katika uchaguzi wa aina yoyote ile. kosa hilo haliwezi kurudiwa kamwe na wanambeya kuifanya Mbeya kuonekana kama ya wahuni wahuni tu.
Kama mambo yataendela kuwa hivi, naamini muda si mrefu huyu Kijana wetu Mzalendo anaweza kuvaa magwanda na kuwa Kamanda wa Chadema ili kupigania ukombozi wa hii nchi kutoka kwa hawa Wakoloni wetu weusi.[emoji3]Nyinyi ndugu zangu humu jukwaani ni mashahidi. Kijana wetu leo ametulia sana humu jukwaani. Bila shaka alisafiri kutoka kwao Mbozi, mpaka Mbeya Mjini ili kwenda kuwaona Makamanda wa Chadema live! Yaani moyo wake utakuwa umesuuzika baada ya kuwaona Makamanda kama Lissu, Mbowe, na wengineo live badala ya kuwaona kupitia luninga.
Kama mambo yataendela kuwa hivi, naamini muda si mrefu huyu Kijana wetu Mzalendo anaweza kuvaa magwanda na kuwa Kamanda wa Chadema ili kupigania ukombozi wa hii nchi kutoka kwa hawa Wakoloni wetu weusi.
Tate mkuu hiyo nyota aliyoitoa jamaa isharudi huna baya umemwelewesha vzuri jamaa taratibu ataelewa nenda nae polepole.....Ni suala tu la muda. Ukiendelea kuzisikiliza hotuba za Makamanda utagundua huko uliko umepotea. Hicho chama chenu ni cha Kisultani. Na kwa bahati mbaya, wewe hutokei kwenye familia ya hao Masultani.
[emoji3][emoji3][emoji3] haiwezi ikatokea hata kwa bahati mbaya mimi nikawa mwana CHADEMA ,chama kilichokosa nuru,Dira,sera na ajenda za kueleweka zaidi ya kupigania maslahi yao binafsi ya kuwaneemesha kama vile ambavyo kwa sasa chama linapigania uwepo wa wabunge wawili katika kila jimbo.
Mimi nitaendelea kuiunga mkono CCM na serikali yake ya CCM chini ya uongozi shupavu, imara na madhubuti wa mzalendo wa kweli Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika,, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.
Mbeya ni salaama katika mikono salama ya Dkt Tulia Acksoni Mwansasu, Rais wa umoja wa mabunge Duniani ,dada wa Taifa na msomi Nguli wa sheria kuwahi kutokea nyanda za juu kusini.
Hakuna mwana Mbeya mwenye akili Timamu anayeweza kupoteza kura yake kuipa CHADEMA katika uchaguzi wa aina yoyote ile. kosa hilo haliwezi kurudiwa kamwe na wanambeya kuifanya Mbeya kuonekana kama ya wahuni wahuni tu.
Nini kinaendelea hukoNyinyi ndugu zangu humu jukwaani ni mashahidi. Kijana wetu leo ametulia sana humu jukwaani. Bila shaka alisafiri kutoka kwao Mbozi, mpaka Mbeya Mjini ili kwenda kuwaona Makamanda wa Chadema live! Yaani moyo wake utakuwa umesuuzika baada ya kuwaona Makamanda kama Lissu, Mbowe, na wengineo live badala ya kuwaona kupitia luninga.
Kama mambo yataendela kuwa hivi, naamini muda si mrefu huyu Kijana wetu Mzalendo anaweza kuvaa magwanda na kuwa Kamanda wa Chadema ili kupigania ukombozi wa hii nchi kutoka kwa hawa Wakoloni wetu weusi.
Atakuwa hadi amebubujikwa na machozi ya furaha huku anatafuna mahindi ya kukaanga.Leo mdogo wangu Lucas amefarijika sana baada ya Makamanda kuivamia Mbeya na kukata kabisa kiu yake ya muda mrefu ya kusikiliza hotuba za Makamanda live bila chenga.π
Na kamwe Chadema haiwezi kupokea taahira kama wewe.
Luca ametupa vibuyu vya CCM kaokokea CDM.Nini kinaendelea huko
Muulize huyu kijana wa ccm ndugu Lucas mwashambwa atakwambia ni kwa namna gani alibubujikwa kwa machozi ya furaha π leo baada tu ya Kamanda Tundu Lissu kuanza kuuhutubia umati wa maelfu walioshiriki hayo maandamano, akiwemo yeye mwenyewe Lucas.Nini kinaendelea huko
ππππ Haiwezi ikatokea nikatupa vibuyu vya CCM ,Mimi na CCM mpaka mwisho wangu hapa Duniani.sitatoka wala kuhama wala kurudi nyuma wala kupoa wala kususa.Luca ametupa vibuyu vya CCM kaokokea CDM.