Maandamano ya CHADEMA Mkoani Mbeya Februari 20 yameleta faraja kubwa

Maandamano ya CHADEMA Mkoani Mbeya Februari 20 yameleta faraja kubwa

๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ Haiwezi ikatokea nikatupa vibuyu vya CCM ,Mimi na CCM mpaka mwisho wangu hapa Duniani.sitatoka wala kuhama wala kurudi nyuma wala kupoa wala kususa.

Nitaendelea kumuunga mkono Mheshimiwa Mwenyekiti wangu Taifa na kumpa faraja na kumtia moyo kwa kazi nzito na kubwa anayoifanya ya kuwatumikia watanzania wanyonge.
Kumzidi Lowassa,Sumaye na Kingunge?
 
MAABARA YA CHADEMA & DARUBINI YA CCM

Tunafuatilia maandamano yanayoratibiwa na CHADEMA nchi nzima. Maandamano hayo kwa ujumla yamebeba agenda kuu mbili: 1. Ugumu wa maisha; 2. Madai ya Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi. Kuna watu Kwa kutokujua wanayabeza maandamano hayo kwa sababu za utofauti wa kiitikadi, kuna watu pia wanasifu kwa sababu pia za mahaba ya kiitikadi. Lakini kwa muono au mtazamo wetu, maandamano hayo ni maabara ya kujichunguza lakini pia ni darubini au hata hadubini ya kujiona iwe ni kwa mbali au kwa karibu:

1. CHADEMA inaweza isipate haraka matokeo iliyoyakusudia lakini inaweza kupata matokeo mengine (subsidiaries) ambayo ni ya muhimu sana kwao sasa wanapoelekea katika kipindi cha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2024 na Uchaguzi Mkuu wa 2025.

2. Kwa kupitia maandamano hayo, CHADEMA inapata fursa ya kipekee ya kupima kukubalika kwao katika jamii. Kwamba hiyo 'nyomi' kubwa inayojitokeza ni ishara ya kura tarajiwa.

3. Kwa kupitia maandamano hayo, CHADEMA inapata nafasi ya pekee ya kuwaweka pamoja wanachama wake katika ngazi za matawi, Kata na Wilaya ambao walipitia joto la migawanyiko ya Uchaguzi ambao umehitimika katika ngazi husika.

4. Kwa kupitia maandamano hayo, CHADEMA inapata fursa ya kuwaeleza marafiki zao nje ya nchi kuwa wanao ushawishi katika nchi.

5. Kwa kupitia maandamano hayo, CHADEMA inapata fursa ya kuwashawishi watu ambao hawajaamua chama cha siasa cha kujiunga (wengi wao ni vijana waliohitimu vyuo vikuu katika kipindi cha miaka 4 iliyopita).

Kwa upande mwingine, maandamano hayo pia yanaweza kuwa darubini au hadubini kwa ajili ya CCM kujiona kwa mbali au hata kujitazama kwa karibu:

1. Kupitia maandamano hayo, CCM inaweza kuona uhalisia wa nguvu ya CHADEMA ambao hadi mwezi uliopita ulikuwa umejificha kwani sio siri kuwa CHADEMA Digital imekiimarisha sana CHADEMA katika ngazi za Tawi, Kata na hata Wilaya. CCM ikipima uhalisia wa nguvu ya CHADEMA inaweza kujipanga vizuri ili isije pia ikaaibishwa kama ilivyoaibishwa UNIP ya kule Zambia miaka ya 1990s baada ya kubwagwa na MMD ya Frederick Chiluba.

2. Kupitia maandamano hayo, Serikali ya CCM inaweza kupata fursa ya kuiambia dunia kuwa Tanzania kuna demokrasia na pia kuna uhuru wa kuandamana. Hili wakifanikiwa itakuwa ni heshima na mtaji mkubwa sana kwao.

3. Kupitia maandamano hayo, Serikali ya CCM inaweza kupata fursa ya kuona hasira za watu juu hali ya maisha na kuamua kurekebisha kwa kadiri inavyoweza ili kuepuka hukumu dhidi yao katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2024 na Uchaguzi Mkuu wa 2025.

4. Kupitia maandamano hayo, Wabunge wa CCM watapata nafasi ya kujua wanakubalikaje katika majimbo yao ambako CHADEMA wanapita na maandamano hayo.

5. Kupitia maandamano hayo, CCM imepumua kwani hadi watakaposikiliza hukumu ya watu kuhusu hoja ambazo CHADEMA inawapelekea.

Hata hivyo, changamoto ya maandamano yote duniani ni kuwa hufanyika katika miji, majiji na miji mikuu. Ni vigumu sana kwa waandaaji wa maandamano kuwabeba watu kutoka Vijijini ili wafike mijini. Kwa sababu hiyo, maabara hiyo, darubini hiyo na hata hadubini hiyo inaweza pia isitupe matokeo ya Vijijini na inaweza isitupe sura na taswira yetu ya Vijijini.

Kwa kuhitimisha, maandamano hayo ni dalili ya ushindi kwa upande wa wana demokrasia wa ndani ya CCM, Serikali, CHADEMA pamoja na wanaharakati wote. Tunawapongeza viongozi wa CHADEMA kwa kuratibu maandamano ya amani na hivyo kuvuka mtihani na mtego kwa kuwa wapo watu wasipoenda demokrasia wao walitaka kupata kisingizio cha kuyazuia. Na pia, tunaipongeza serikali kwa kutokuyabughudhi maandamano hayo na kuacha watu wapumue!

Anayeyabeza maandamano hayo ni 'Katojo' lakini pia anayebweteka na maandamano hayo ni 'Kalagesye'! Lakini kama taifa hii ni dalili nzuri ya maridhiano ya asili kwani matokeo ya maandamano hayo yatatupeleka wote katika meza ya mazungumzo wakati kila upande wa vyama vikuu vya siasa unajua nguvu na udhaifu wa upande mwingine. Umbwelehi ine?Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 20 Februari 2024; 2:53 usiku
FB_IMG_1708452112478.jpg
 
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ Haiwezi ikatokea nikatupa vibuyu vya CCM ,Mimi na CCM mpaka mwisho wangu hapa Duniani.sitatoka wala kuhama wala kurudi nyuma wala kupoa wala kususa.

Nitaendelea kumuunga mkono Mheshimiwa Mwenyekiti wangu Taifa na kumpa faraja na kumtia moyo kwa kazi nzito na kubwa anayoifanya ya kuwatumikia watanzania wanyonge.
Hivi wewe ndio Garson Msigwa?
 
MAABARA YA CHADEMA & DARUBINI YA CCM

Tunafuatilia maandamano yanayoratibiwa na CHADEMA nchi nzima. Maandamano hayo kwa ujumla yamebeba agenda kuu mbili: 1. Ugumu wa maisha; 2. Madai ya Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi. Kuna watu Kwa kutokujua wanayabeza maandamano hayo kwa sababu za utofauti wa kiitikadi, kuna watu pia wanasifu kwa sababu pia za mahaba ya kiitikadi. Lakini kwa muono au mtazamo wetu, maandamano hayo ni maabara ya kujichunguza lakini pia ni darubini au hata hadubini ya kujiona iwe ni kwa mbali au kwa karibu:

1. CHADEMA inaweza isipate haraka matokeo iliyoyakusudia lakini inaweza kupata matokeo mengine (subsidiaries) ambayo ni ya muhimu sana kwao sasa wanapoelekea katika kipindi cha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2024 na Uchaguzi Mkuu wa 2025.

2. Kwa kupitia maandamano hayo, CHADEMA inapata fursa ya kipekee ya kupima kukubalika kwao katika jamii. Kwamba hiyo 'nyomi' kubwa inayojitokeza ni ishara ya kura tarajiwa.

3. Kwa kupitia maandamano hayo, CHADEMA inapata nafasi ya pekee ya kuwaweka pamoja wanachama wake katika ngazi za matawi, Kata na Wilaya ambao walipitia joto la migawanyiko ya Uchaguzi ambao umehitimika katika ngazi husika.

4. Kwa kupitia maandamano hayo, CHADEMA inapata fursa ya kuwaeleza marafiki zao nje ya nchi kuwa wanao ushawishi katika nchi.

5. Kwa kupitia maandamano hayo, CHADEMA inapata fursa ya kuwashawishi watu ambao hawajaamua chama cha siasa cha kujiunga (wengi wao ni vijana waliohitimu vyuo vikuu katika kipindi cha miaka 4 iliyopita).

Kwa upande mwingine, maandamano hayo pia yanaweza kuwa darubini au hadubini kwa ajili ya CCM kujiona kwa mbali au hata kujitazama kwa karibu:

1. Kupitia maandamano hayo, CCM inaweza kuona uhalisia wa nguvu ya CHADEMA ambao hadi mwezi uliopita ulikuwa umejificha kwani sio siri kuwa CHADEMA Digital imekiimarisha sana CHADEMA katika ngazi za Tawi, Kata na hata Wilaya. CCM ikipima uhalisia wa nguvu ya CHADEMA inaweza kujipanga vizuri ili isije pia ikaaibishwa kama ilivyoaibishwa UNIP ya kule Zambia miaka ya 1990s baada ya kubwagwa na MMD ya Frederick Chiluba.

2. Kupitia maandamano hayo, Serikali ya CCM inaweza kupata fursa ya kuiambia dunia kuwa Tanzania kuna demokrasia na pia kuna uhuru wa kuandamana. Hili wakifanikiwa itakuwa ni heshima na mtaji mkubwa sana kwao.

3. Kupitia maandamano hayo, Serikali ya CCM inaweza kupata fursa ya kuona hasira za watu juu hali ya maisha na kuamua kurekebisha kwa kadiri inavyoweza ili kuepuka hukumu dhidi yao katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2024 na Uchaguzi Mkuu wa 2025.

4. Kupitia maandamano hayo, Wabunge wa CCM watapata nafasi ya kujua wanakubalikaje katika majimbo yao ambako CHADEMA wanapita na maandamano hayo.

5. Kupitia maandamano hayo, CCM imepumua kwani hadi watakaposikiliza hukumu ya watu kuhusu hoja ambazo CHADEMA inawapelekea.

Hata hivyo, changamoto ya maandamano yote duniani ni kuwa hufanyika katika miji, majiji na miji mikuu. Ni vigumu sana kwa waandaaji wa maandamano kuwabeba watu kutoka Vijijini ili wafike mijini. Kwa sababu hiyo, maabara hiyo, darubini hiyo na hata hadubini hiyo inaweza pia isitupe matokeo ya Vijijini na inaweza isitupe sura na taswira yetu ya Vijijini.

Kwa kuhitimisha, maandamano hayo ni dalili ya ushindi kwa upande wa wana demokrasia wa ndani ya CCM, Serikali, CHADEMA pamoja na wanaharakati wote. Tunawapongeza viongozi wa CHADEMA kwa kuratibu maandamano ya amani na hivyo kuvuka mtihani na mtego kwa kuwa wapo watu wasipoenda demokrasia wao walitaka kupata kisingizio cha kuyazuia. Na pia, tunaipongeza serikali kwa kutokuyabughudhi maandamano hayo na kuacha watu wapumue!

Anayeyabeza maandamano hayo ni 'Katojo' lakini pia anayebweteka na maandamano hayo ni 'Kalagesye'! Lakini kama taifa hii ni dalili nzuri ya maridhiano ya asili kwani matokeo ya maandamano hayo yatatupeleka wote katika meza ya mazungumzo wakati kila upande wa vyama vikuu vya siasa unajua nguvu na udhaifu wa upande mwingine. Umbwelehi ine?Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 20 Februari 2024; 2:53 usikuView attachment 2910512
Ameen ameen Mtumishi Wa Mungu
 
Bora wajinga wakielimishwa watakuwa were werevu,ila wewe ndiyo umekwisha umia,ubongo wako ulichelewa kupata oxygen.
 
Ameen ameen Mtumishi Wa Mungu
Mshana jr Ni mganga wa kienyeji na siyo mtumishi wa Mungu. Ila hajachelewa maana anaweza utumia muda huu kumpokea yesu kristo kuwa bwana na mwokozi wa maisha yake. Bwana asema mimi ni nuru ya ulimwengu na yeyote atakaye nifuata hataingia gizani.
 
Mshana jr Ni mganga wa kienyeji na siyo mtumishi wa Mungu. Ila hajachelewa maana anaweza utumia muda huu kumpokea yesu kristo kuwa bwana na mwokozi wa maisha yake. Bwana asema mimi ni nuru ya ulimwengu na yeyote atakaye nifuata hataingia gizani.
Wewe mbona uko ccm kwa wauaji?
 
Mshana jr Ni mganga wa kienyeji na siyo mtumishi wa Mungu. Ila hajachelewa maana anaweza utumia muda huu kumpokea yesu kristo kuwa bwana na mwokozi wa maisha yake. Bwana asema mimi ni nuru ya ulimwengu na yeyote atakaye nifuata hataingia gizani.
Ila ameokoka
 
Kinachoitwa maandamano ya amani ni kiinimacho, ni kama marathon tu au jogging clubs..... hakuna kiongozi atayazingatia.
 
Hivi ni wapi Africa hii ambapo maandamano ya amani kama haya ya CDM yamewahi kuleta mabadiliko yoyote?

Si ni sawa na vikundi vya jogging tu vya mtaani kwa watawala.

Angalia mfano yaliyomlegeza shingo Ruto hapo jirani yalikuwaje.
Unapima mabadiliko kwa namna gani?.Hakuna mabadiliko yanayoletwa bila watu kuelimika kwanza.Cdm wanafanya jambo sahihi,kwababu jamii yetu bado iko katika lindi la ujinga.Hili vuguvugu litaelimisha wengi na faida yake iko siku utaiona.Tuombe uzima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom