Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,206
- 18,549
Kitendo cha vyombo vya kimataifa kuripoti maandamano haya kwa sura kwamba raifa sasa limerudi nyuma kwenye kiasi cha kulinganishwa na nchi za kidikteta ni jambo ambalo kama watanzania limetupa hisia mbaya.
Maandamano ya chadema ambayo kwa nje yanao ekana kuto fanikiwa lakini impact yake imekuwa kubwa kupita maandamano yoyote ambayo yamewahi kufanyika na chama cha siasa.
Serikali inahitaji kuliangalia hili kwa jicho la kijasusi na kikachero, ili kunusuru taifa hili kuwekwa kwenye kundi moja la nchi za hovyo zisizo fuata demokrasia.
Maandamano ya chadema ambayo kwa nje yanao ekana kuto fanikiwa lakini impact yake imekuwa kubwa kupita maandamano yoyote ambayo yamewahi kufanyika na chama cha siasa.
Serikali inahitaji kuliangalia hili kwa jicho la kijasusi na kikachero, ili kunusuru taifa hili kuwekwa kwenye kundi moja la nchi za hovyo zisizo fuata demokrasia.