Maandamano ya CHADEMA yamelipaka matope taifa

Maandamano ya CHADEMA yamelipaka matope taifa

Jombaa ni just a matter of time. Kuna dynasty ziliwahi tawala for 1000 years ila in the end? Zote ziliangushwa sembuse kizimkazi dynasty
If you don't have a short tame or long tame plan to overcome a tyranny government, don't call yourself a powerful or strong opposer.
 
Nimeshangaa sana kuona Mbowe aking'aa kipekee kwenye media safari hii pamoja na maandamano ya yaliyohamasishwa na chama chake KUTOFANYIKA, virtually.

Picha za Mbowe na binti yake kuzingirwa na makundi hasimu ya polisi wenye vyeo mbali mbali kama mtu maalum (mhalifu tishio) zimepamba media kibao nchini na nje ya nchi. Wengi wamekuwa sympathetic naye ingawa wanaona haya kukubali: Tlaatlaah Lucas Mwashambwa chiembe n.k.

Something tells me, watawala wetu wanataka sana kuweka utawala wa kiimla nchini lakini hawana spirit wala weledi kabisa. Wajifunze kwa Kagame. Anagonga washindani/mahasimu wake kimya kimya, bila kelele wala majigambo yasiyo na maana. Halafu anafanya mikakati kadhaa ya kuendana vyema na "mabeberu".

Imagine alivyochukua wazamiaji ulaya tokea Mediterranean. Kisha akapanga kuchukua wahamiaji wanaopitia English channel. Na yuko DRC kulinda maslahi ya mabeberu na yeye kujipatia chochote kitu. Ona huku kwetu sasa: kelele nyingi, majigambo mengi, vichambo kibao. Halafu operesheni zinafanywa bila weledi, very crude: kila kitu kinajichoresha wazi kabisa. Hata baadaye kuzuga inashindikana. No confidence kabisa. Kagame kuna wakati anadiriki hata kukaa kwenye midahalo ya kimataifa na kuwagonga kwa point wanaomshambulia kuwa utawala wake ni wa kidikteta. Na wanakaa!
 
Back
Top Bottom