Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 590
- 1,648
Ila kila chenye Mwanzo Daima kina Mwisho Amini hivoMaandamano yanayounga juhudi za mama yameenda vizuri kabisa, hakuna virungu, matamko ya kukataza maandamano kabla, wala askari kuwa standby kukamata watu!
Inakuaje inakuwa kinyume watu wakitaka kuandamana ikiwa hawajarika na utendaji wa serikali? Kwanini waandamanaji wanachukuliwa kama wahalifu na waleta taharuki na machafuko chini?
Watu hawafiki hata kumi wakapelekewa difenda, hamuoni kama mnachagua upande kwa watu ambao mlitakiwa kuwalinda wote bila upendeleo?
Ni ujinga mzitoHii tabia ya kujiita chawa inanikera sana cjui nifanyeje aisee
makuwadi ya samia na dpworld yamekusanyika kama genge la matahira hata aibu hayana ona sasa yamejikuta yenyewe tu kama mayatima hovyo kabisa.Maandamano yanayounga juhudi za mama yameenda vizuri kabisa, hakuna virungu, matamko ya kukataza maandamano kabla, wala askari kuwa standby kukamata watu!
Inakuaje kinyume watu wakitaka kuandamana ikiwa hawajaridhika na utendaji wa serikali? Kwanini waandamanaji wanachukuliwa kama wahalifu na waleta taharuki na machafuko chini?
Watu hawafiki hata kumi wakapelekewa difenda, hamuoni kama mnachagua upande kwa watu ambao mlitakiwa kuwalinda wote bila upendeleo?
Hii wapi wajameni,mbona mnasema Chawa ila naona watu,au watu hao ni wafuga Chawa🤔.Ila nijuavyo Chawa hapendi usafi na wote ninaowaona hawana dalili ya uchafu wa viwango vya kufuga chawa😂😂😂.Au Matani tuu, kama ya Mzee wa msitu wa Shakahola🏃🏃Maandamano yanayounga juhudi za mama yameenda vizuri kabisa, hakuna virungu, matamko ya kukataza maandamano kabla, wala askari kuwa standby kukamata watu!
Inakuaje kinyume watu wakitaka kuandamana ikiwa hawajaridhika na utendaji wa serikali? Kwanini waandamanaji wanachukuliwa kama wahalifu na waleta taharuki na machafuko chini?
Watu hawafiki hata kumi wakapelekewa difenda, hamuoni kama mnachagua upande kwa watu ambao mlitakiwa kuwalinda wote bila upendeleo?
NCHI YA WAJINGA WENGIMaandamano yanayounga juhudi za mama yameenda vizuri kabisa, hakuna virungu, matamko ya kukataza maandamano kabla, wala askari kuwa standby kukamata watu!
Inakuaje kinyume watu wakitaka kuandamana ikiwa hawajaridhika na utendaji wa serikali? Kwanini waandamanaji wanachukuliwa kama wahalifu na waleta taharuki na machafuko chini?
Watu hawafiki hata kumi wakapelekewa difenda, hamuoni kama mnachagua upande kwa watu ambao mlitakiwa kuwalinda wote bila upendeleo?
KufaHii tabia ya kujiita chawa inanikera sana cjui nifanyeje aisee
Nchi hii ni ya kipuuzi, kipumbavu na kiqumer kuliko kawaida.Maandamano yanayounga juhudi za mama yameenda vizuri kabisa, hakuna virungu, matamko ya kukataza maandamano kabla, wala askari kuwa standby kukamata watu!
Inakuaje kinyume watu wakitaka kuandamana ikiwa hawajaridhika na utendaji wa serikali? Kwanini waandamanaji wanachukuliwa kama wahalifu na waleta taharuki na machafuko chini?
Watu hawafiki hata kumi wakapelekewa difenda, hamuoni kama mnachagua upande kwa watu ambao mlitakiwa kuwalinda wote bila upendeleo?