Maandamano ya Chawa wa Mama ni sahihi, ila ya kupinga huduma mbovu nchini ni kupigwa virungu!

Rare Sapphire

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2021
Posts
590
Reaction score
1,648
Maandamano yanayounga juhudi za mama yameenda vizuri kabisa, hakuna virungu, matamko ya kukataza maandamano kabla, wala askari kuwa standby kukamata watu!

Inakuaje kinyume watu wakitaka kuandamana ikiwa hawajaridhika na utendaji wa serikali? Kwanini waandamanaji wanachukuliwa kama wahalifu na waleta taharuki na machafuko chini?

Watu hawafiki hata kumi wakapelekewa difenda, hamuoni kama mnachagua upande kwa watu ambao mlitakiwa kuwalinda wote bila upendeleo?

Your browser is not able to display this video.
 
Ila kila chenye Mwanzo Daima kina Mwisho Amini hivo
 
Baada ya Kuandamana, itakuja swala la kumtafuta kazi na kuipata. Hapo ndipo watakuja kujuta!!!. Na si ajabu wengi Hawajui wanachoandamania,
 
Ngoja niwaache wafu mzikane
 
makuwadi ya samia na dpworld yamekusanyika kama genge la matahira hata aibu hayana ona sasa yamejikuta yenyewe tu kama mayatima hovyo kabisa.
 
Hii wapi wajameni,mbona mnasema Chawa ila naona watu,au watu hao ni wafuga Chawa🤔.Ila nijuavyo Chawa hapendi usafi na wote ninaowaona hawana dalili ya uchafu wa viwango vya kufuga chawa😂😂😂.Au Matani tuu, kama ya Mzee wa msitu wa Shakahola🏃🏃
 
NCHI YA WAJINGA WENGI
 
Nchi hii ni ya kipuuzi, kipumbavu na kiqumer kuliko kawaida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…