Maandamano ya Dar Young African (Yanga Yakanusha)

Status
Not open for further replies.
Si mngekata rufaa tu kwa jambo mnaloonewa?.

Kuitisha maandamano ni wazi Yanga haina viongozi wenye weledi. Wanataka huruma ya mashabiki kupiga kelele barabarani na kujidhalilisha.
 
Ni haki yao, acheni waandamane
 
Nacheka kwa dharau! yaani Yanga imefikia hatua hiyo badala ya kuimarisha Timu wao wanataka kuandamana 🤣
 
Hiyo barua siyo ya kweli na Klabu ya YANGA umekwisha kanusha kuhusu taarifa hiyo.
 
Hii team wakifanya mchezo inaenda kufa na kubaki jina tu huku ikishiriki daraja la tatu.
 
mkuu washauri Yanga wacheze mpira kiwanjani, mambo ya maandamano wawaachie wanasiasa
 
Mbona njia za kuwasilisha malalamiko zimerahisishwa sana kuliko hiyo ya kukusanya lundo la watu na kuwatembeza barabarani, waandike malalamiko then wamtume mtu apeleke hapo wizarani bado yatafika tu
Hawana lolote hao wanataka kusambaza korona tu
 
Mbona njia za kuwasilisha malalamiko zimerahisishwa sana kuliko hiyo ya kukusanya lundo la watu na kuwatembeza barabarani, waandike malalamiko then wamtume mtu apeleke hapo wizarani bado yatafika tu
Huyo mtu akifungiwa je? Mwakalebela alitumwa na akifungiwa Sasa itakuwaje kwa huyo mtu anayepeleka malalamiko?😀😀😀😀😀 A joke please...ila Karia hataki upinzani kwenye uchaguzi ujao...

Hata hivyo barua hiyo Bila Shaka ni fake...wananchi hawawezi kuitisha maandamano Wala kuvunja viti uwanjani
 

Shida yenu ni kwamba mukiambiwa muthibitishe hayo madai yenu na kuyapeleka TFF munashindwa na kuishia kulalamika mitandaoni.
Tafuteni vielelezo na ushahidi kamili mupeleke TFF au Baraza la Michezo au kwa huyo Waziri wa michezo kuwa munanyanyaswa.
 
Waacheni waandamane wazidi kuonyesha utaahira wao ila tu wasikatize Msimbazi.
 
Ndugu zetu sisi tukiwa tunaelekea Misri wao wako wanaelekea kwenye maandamano

Kuna tatizo mahali linatakiwa kuangaliwa dhidi ya Hawa ndugu zetuView attachment 1744894
yaani hawa yanga wana ujinga sana badala wajipange mwakani wapo kwenye club bigwa waunde kikosi kizuri wao wanafanya ujinga ujinga..
 
Hii team wakifanya mchezo inaenda kufa na kubaki jina tu huku ikishiriki daraja la tatu.
Ni jambo la kusikitisha kwa nini wasimuombe Manji arudi gsm ni wajanjajanja tu
 
Yanga tatizo ni wasahaulifu hawakumbuki TFF ya Jamal malinzi walivyokuwa wanaionea Simba na team nyingine zinazocheza na yanga ulikuwa huwezi kumaliza dakika 90 bila redcard
 
Yanga tatizo ni wasahaulifu hawakumbuki TFF ya Jamal malinzi walivyokuwa wanaionea Simba na team nyingine zinazocheza na yanga ulikuwa huwezi kumaliza dakika 90 bila redcard
Me sioni kama wanaonewa. Wakijitambua wataacha kulia lia.
 
Sina mbavu!!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…