Maandamano ya Dar Young African (Yanga Yakanusha)

Status
Not open for further replies.
Ila hii timu bana
1. Wameshindwa kudhibitisha makosa ya mkataba wa bm3
2.Wameshindwa kudhibitisha kuonewa na tff
3. Wameshindwa kujitoa kwenye ligi mana wanaonewa
4. Tff caf cas na fifa kote huko simba wamehonga
5. Wameshindwa jenga timu mbovu

Ila madai yao wana weza zibitisha kwa maandamano ni maajabu[emoji196][emoji196]
 
Wakimaliza kuandamana Tanzania waende Kuandamana CAF na FIFA kwani huko Simba nako inapendelewa na Yanga inanyanyaswa.

  • CAS hawakuisikiliza kesi ya Morrison dhidi ya Simba.
  • CAF hawakuisikiliza kesi ya Al Merrikh dhidi ya Simba.
  • CAF imewaruhusu Simba kuingiza Mashabiki 10,000 uwanjani dhidi ya AS VITA.
 
Miaka mitano unachukua kombe mpaka point za mezani !sisi tulikua kimyaaaaaa ukienda kimataifa ulikua unabutua butua tu mpira unatolewa chaliiiiiii .Leo SIMBA inafanya vizuri mnaaanza kuleta story km malaya alie achwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tulieni dawa iwaingie.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…