Maandamano ya kesho tar. 23.09.2024 yataleta hatma ya Taifa letu.

Maandamano ya kesho tar. 23.09.2024 yataleta hatma ya Taifa letu.

Mushkov

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2024
Posts
357
Reaction score
686
Kesho siku ya jumatatu tar. 23.09.2024 yanatarajiwa kufanyika maandamano ya wananchi wakipinga serikali kutochukua hatua stahiki dhidi ya Utekaji, utesaji na mauaji ya watu ambayo yamekuwa yakifanyika hivi karibuni hapa Nchini. Maandamano hayo yanakwenda ama kuwamaliza kabisa kisiasa na kimahusiano viongozi waliopo madarakani au kuwajenga.
Ikiwa viongozi wetu waliopo madarakani watatumia nguvu kubwa zaidi kuzima maandamano hayo mpaka kupelekea majeruhi au vifo, kwa hakika hilo litakuwa ndo kaburi lao kisiasa na kimahusiano.
Ikumbukwe kuwa, mambo yanayosababisha maandamano kufanyika tayari yameshapigiwa kelele sana na:-
*Watanzania mbalimbali.
*Viongozi mbalimbali wa kisiasa.
*Taasisi mbalimbali za kitaifa na kimataifa.
*Viongozi mbalimbali wa Dini hususani Roman Catholic yaani TEC na Masheikh.
*Mabalozi mbalimbali hususani wa Marekani.
Kwa maana hiyo, maandamano hayo yatafuatiliwa kwa karibu sana na Dunia nzima.

Maoni yangu ni kwamba, Mama asikubali kuchafuliwa kizembe namna hiyo, hivyo:-
*Afute kauli yake ya juzi dhidi ya Mabalozi nk.
*Leo hii kabla ya maandamano, afanye mazungumzo na viongozi wa CHADEMA ili kutafuta suluhu.
*Kama hataki mazungumzo, basi azuie maaskari kutumia nguvu kubwa, yaani maaskari wasimpige mwandamanaji hata mmoja. Hiyo itakuwa ndo salama ya Mama.
Nawasilisha.
 
Si Mbowe kasema ya Amani, yatafanyika na kulindwa na Polisi kama yalivyofanyika mengine sehemu tofauti hivi karibuni. Sasa sijui hatma gani unasema?
 
Kesho siku ya jumatatu tar. 23.09.2024 yanatarajiwa kufanyika maandamano ya wananchi wakipinga serikali kutochukua hatua stahiki dhidi ya Utekaji, utesaji na mauaji ya watu ambayo yamekuwa yakifanyika hivi karibuni hapa Nchini. Maandamano hayo yanakwenda ama kuwamaliza kabisa kisiasa na kimahusiano viongozi waliopo madarakani au kuwajenga.
Ikiwa viongozi wetu waliopo madarakani watatumia nguvu kubwa zaidi kuzima maandamano hayo mpaka kupelekea majeruhi au vifo, kwa hakika hilo litakuwa ndo kaburi lao kisiasa na kimahusiano.
Ikumbukwe kuwa, mambo yanayosababisha maandamano kufanyika tayari yameshapigiwa kelele sana na:-
*Watanzania mbalimbali.
*Viongozi mbalimbali wa kisiasa.
*Taasisi mbalimbali za kitaifa na kimataifa.
*Viongozi mbalimbali wa Dini hususani Roman Catholic yaani TEC na Masheikh.
*Mabalozi mbalimbali hususani wa Marekani.
Kwa maana hiyo, maandamano hayo yatafuatiliwa kwa karibu sana na Dunia nzima.

Maoni yangu ni kwamba, Mama asikubali kuchafuliwa kizembe namna hiyo, hivyo:-
*Afute kauli yake ya juzi dhidi ya Mabalozi nk.
*Leo hii kabla ya maandamano, afanye mazungumzo na viongozi wa CHADEMA ili kutafuta suluhu.
*Kama hataki mazungumzo, basi azuie maaskari kutumia nguvu kubwa, yaani maaskari wasimpige mwandamanaji hata mmoja. Hiyo itakuwa ndo salama ya Mama.
Nawasilisha.
Usahuri mzuri wauchukue watakukumbuka.
 
Kesho patachimbika.

Samoa must GO!
Samia must quit!
Samia must leave!
Or else, she will be ousted.
 
Si Mbowe kasema ya Amani, yatafanyika na kulindwa na Polisi kama yalivyofanyika mengine sehemu tofauti hivi karibuni. Sasa sijui hatma gani unasema?
Nadhani anamashaka na tabia za askari wetu. Waandamanaji hawana shida, kama walifanya yale ya maisha magumu ambayo ynawagusa wengi haya itakuwa kawauda tu. Sema mpka sasa serikali imeshakosea hesabu kwa kuyatisha zaidi.
 
Mnajidanganya Sana
Nani aandamane labda robot
 
Nadhani anamashaka na tabia za askari wetu. Waandamanaji hawana shida, kama walifanya yale ya maisha magumu ambayo ynawagusa wengi haya itakuwa kawauda tu. Sema mpka sasa serikali imeshakosea hesabu kwa kuyatisha zaidi.
Nadhani hiyo itafanya yawe ya Amani zaidi kwa sababu watataka kuwaprove wrong kuwa wao sio watu wafujo. Ndio maana wamesisitiza ya Amani.
 
Tatizo la wagalatia brother hata uhubiri namna gani hawasikii, nitapatwa na mshangao mkubwa sana ikitokea kweli wameingia road. Bila shaka masihi atakuwa yu karibu kabisa kurudi.
What a stupid comment, suala la dini na Imani linaingiaje?
Halafu unajiona mjanja.
 
Huyo Mama na chama chake ni sikio la kufa.

Anyway, ili CCM ianguke, ni lazima mambo kama haya yatimie.

Hata Farao alikuwa kama hawa watawala wetu.
Kwa hakika sikio la kufa halisikii dawa.
Sijajua kwa nini ameshupaza shingo.
 
What a stupid comment, suala la dini na Imani linaingiaje?
Halafu unajiona mjanja.
Hakuna udini hapo brother ebu tuliza kichwa elewa nini kimemaanishwa. Toa hizo mentality jitahidi uwe huru kutafakari kabla nini kinaandikwa.
 
Kesho siku ya jumatatu tar. 23.09.2024 yanatarajiwa kufanyika maandamano ya wananchi wakipinga serikali kutochukua hatua stahiki dhidi ya Utekaji, utesaji na mauaji ya watu ambayo yamekuwa yakifanyika hivi karibuni hapa Nchini. Maandamano hayo yanakwenda ama kuwamaliza kabisa kisiasa na kimahusiano viongozi waliopo madarakani au kuwajenga.
Ikiwa viongozi wetu waliopo madarakani watatumia nguvu kubwa zaidi kuzima maandamano hayo mpaka kupelekea majeruhi au vifo, kwa hakika hilo litakuwa ndo kaburi lao kisiasa na kimahusiano.
Ikumbukwe kuwa, mambo yanayosababisha maandamano kufanyika tayari yameshapigiwa kelele sana na:-
*Watanzania mbalimbali.
*Viongozi mbalimbali wa kisiasa.
*Taasisi mbalimbali za kitaifa na kimataifa.
*Viongozi mbalimbali wa Dini hususani Roman Catholic yaani TEC na Masheikh.
*Mabalozi mbalimbali hususani wa Marekani.
Kwa maana hiyo, maandamano hayo yatafuatiliwa kwa karibu sana na Dunia nzima.

Maoni yangu ni kwamba, Mama asikubali kuchafuliwa kizembe namna hiyo, hivyo:-
*Afute kauli yake ya juzi dhidi ya Mabalozi nk.
*Leo hii kabla ya maandamano, afanye mazungumzo na viongozi wa CHADEMA ili kutafuta suluhu.
*Kama hataki mazungumzo, basi azuie maaskari kutumia nguvu kubwa, yaani maaskari wasimpige mwandamanaji hata mmoja. Hiyo itakuwa ndo salama ya Mama.
Nawasilisha.
Mkuu; mama amekusikia. Ngoja kuche tuone nani ni nani.
 
Hakuna udini hapo brother ebu tuliza kichwa elewa nini kimemaanishwa. Toa hizo mentality jitahidi uwe huru kutafakari kabla nini kinaandikwa.
Si unaambiwa utekaji? Rais anasema kuuwawa kwa Kibao kwa kutekwa ni kitu cha kawaida akaanza mipasho. Unataka tuitaje hapo. We call spade a spade, hamna dini hapo, sasa kawa Dictator Samia
 
Tunataka tumuone mbowe na familia yake,
Mnyika na familia yake, Mwalimu na familia yake,
Hakuna atakaye sogeza pua yake.
Wajaribu watajikuta mochwari.
 
KUNGUNI yeyote atakaye jaribu kusogeza pua yake atajuta kuandamana.
 
Back
Top Bottom