Maandamano ya kesho tar. 23.09.2024 yataleta hatma ya Taifa letu.

sema ni hatma ya CHADEMA na uongozi wake.

Taifa liko imara linajitegemea na litaendelea kua Imara zaidi bila ya CHADEMA 🐒
 
Kaburi la CCM ila kwavile wanajizima data sawa wametuma maombi watapata majibu
 
Si Mbowe kasema ya Amani, yatafanyika na kulindwa na Polisi kama yalivyofanyika mengine sehemu tofauti hivi karibuni. Sasa sijui hatma gani unasema?

Polisi wamegoma kuyalinda...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…