Ni woga wetu sisi watu wakati, hesabu tunazipiga nyingi, elimu yetu hajatufanywa tuwe jasiri ila imetufanywa tuwe woga wa kusema wazi tunachofiri.
Hapa mkuu naomba kutofautiana na wewe, elimu ndiyo hiyo iliyokufanya ww hata ukafikiria wazo ulilolitoa, elimu ndiyo ilikuondolea woga wa kuthubutu kuchallenge serikali iwe msituni, hadharani, etc ndo maana leo tunafikiria namna nzuri ya kuichallenge serikali kuhusu ufisadi...ni elimu hiyo mkuu...tukekuwa waoga hatungefanya hata hili!...mkuu hii ni hatua nzuri!
Tunajali zaidi kazi zetu kuliko maisha ya badaye ya watoto wetu! Tumefungwa macho na vijisenti vidogo bila kugundua we can create new employment if change!
Kazi zetu zipi, wengi ya wanaharakati wapo sector binafsi so sitegemei serikali directly ila serikali inatutegemea sisi through kodi binafsi na biashara au shughuli zetu!
The whole problem is about us, and not the people in the streets![/
Not true mkuu, tatizo ni mass education ambayo ingetupa mass support katika hili, out of 40MIL Tanzanians usishangae kuona ni less than 2mil ndio graduates, na less than 10mil wana higher school education, less than 15mil ni form fours!
Mbaya zaidi, less than 5mil Tanzanians ndio wenye elimu sahihi ya uraia na wanatambua haki zao za msingi!
Na hapa kwa maoni yangu the kind of demonstrations that we need here, ni hizo hapo chini mbazo mkuu Kaniki kaelezea, sasa aina hiyo unahitaji kuwa na support kubwa ya vyama vya kiraia, wananchi wengi waliochoshwa na hali iliyopo na wapo tayari kwa lolote lile litakalotokea!....hali tuliyonayo sasahivi wananchi hawaja hamasika kivile, so tunahitaji kutoa elimu ya kutosha kwa watu wetu kabla ya kuwa na maandamano yatakayokidhi malengo yetu! vinginevyo maandamano hayo yataendup kussoprt ufisadi badala ya kupinga (kama alivyosema Mwiba)!
Mbona hujabuy idea ya petition mkuu?
Wazo sio bomba. Labda maandamano yawe kama madagascar au Thailand. Vinginevyo bora kuwaiga mungiki. Wajua tatizo letu wa TZ twaogopa kumwaga damu. Kumbukeni Majimaji, Mkwawa na majasiri wetu wa jadi. Nchi ni yetu hii tuipiganie.
Mkuu Kaniki tupo pamoja!