Artificial intelligence
JF-Expert Member
- Jan 28, 2021
- 1,265
- 2,252
Maandamano yaliyofanyika nchini Ufaransa leo tena yakiongozwa na Mkenya ni kiashiria cha ujasusi wa kiuchumi kuhusu Tanzania&Uganda juu ya ujengaji wa bomba hilo.
Kenya katika ukanda huu wa maziwa makuu imekuwa ikitumiwa sana na washirika wa magharibi na kampuni nyingi binafsi katika kufanikisha operations mbali mbali za kijasusi.
Ni wazi kwamba baadhi ya nchi na kampuni kadhaa hazitafurahishwa na ujenzi wa bomba hilo kutokana na sababu za kiuchumi. Kwahiyo watajaribu kukwamisha mradi huu kwa namna yeyote ile na leo tumeanza kuona ishara hizo.
Serikali zote mbili Tanzania na Uganda kwa kutumia vyombo vya ulinzi na usalama ni lazima washirikiane na kujipanga kikamilifu na kuhakikisha zinakuwa na counterintelligence strategies madhubuti ili kukamilisha ujenzi huu.
Mwigulu Nchemba
Kenya katika ukanda huu wa maziwa makuu imekuwa ikitumiwa sana na washirika wa magharibi na kampuni nyingi binafsi katika kufanikisha operations mbali mbali za kijasusi.
Ni wazi kwamba baadhi ya nchi na kampuni kadhaa hazitafurahishwa na ujenzi wa bomba hilo kutokana na sababu za kiuchumi. Kwahiyo watajaribu kukwamisha mradi huu kwa namna yeyote ile na leo tumeanza kuona ishara hizo.
Serikali zote mbili Tanzania na Uganda kwa kutumia vyombo vya ulinzi na usalama ni lazima washirikiane na kujipanga kikamilifu na kuhakikisha zinakuwa na counterintelligence strategies madhubuti ili kukamilisha ujenzi huu.
Mwigulu Nchemba