Maandamano ya kupinga ujenzi wa bomba la mafuta(EACOP) Kati ya Tanzania na Uganda nchini Ufaransa ni "Economic Espionage"

Maandamano ya kupinga ujenzi wa bomba la mafuta(EACOP) Kati ya Tanzania na Uganda nchini Ufaransa ni "Economic Espionage"

Duh... Hivi hapa Kuna Undugu Kweli? Wakenya ni Wanafiki Wakubwa..!
Ni Samia na Kikwete tuu wasiowajua wakenya. Kwanza wao ni rahisi sana kutumika na mabeberu kuhatarisha uslama wa nchi jirani.

Kwa Kifupi Magu ndio alikuwa anajua ku deal nao lakini huyu Mzanzibari wala hajui anachofanya.

Sasa hivi usikute mabeberu na mafisadi wamemshauri abinafisishe na Bandari.
 
Back
Top Bottom