Maandamano ya Kwanza ya Waislam Dhidi ya Serikali ya Tanzania 1993

Maandamano ya Kwanza ya Waislam Dhidi ya Serikali ya Tanzania 1993

Your perceived enemy is your mind state na hali ya kutoridhika hata upewa mbingu na ardhi.
 
1. Nyerere aliona mbali sana, dhidi ya Kobaz. 🤒🤒.

2. Nyerere hakuona mbali kabisa, kutuunganisha na hawa ZMZ 🤒🤒
 
Bora maandamo ya Gen Z au chadema kinachopiganiwa ni kwa maslahi mapana ya nchi ila sio ninyi kupigania mabucha ya mdudu yavunjwe.
 
Mzee naomba unisaidie jina la channel yako ya YouTube ksma unayo ili niweze kwenda kuchota maarifa huko
 

Asante sana kwa simulizi hii, unaweza ukawa umesema ukweli tupu kwa asilimia 99% halafu ukachomekea urongo kwa asilimia 1% tuu, huo urongo mmoja ukabatilisha ule ukweli wote 99% ukaonekana wote ni urongo kama ule urongo wa idadi ya waislamu kwenye bandiko hili Kwa Simulizi za Mwana JF, Maalim Mohammed Said, Sio Mtu wa Kubezwa, Mengine ni Ukweli Mchungu!, Ila Pia Sio Mtu wa Kupuuzwa!

Urongo kwenye simulizi hii ni kuhusu Waislamu kuhujumiwa na Baraza la Taifa la Mitihani NECTA

Statement kuwa kanisa limeweka kambi taasisi zote za elimu kuwadhulumu Waislamu ni urongo!. Kuna uwezekano kweli Waislamu walikuwa wanadhulumiwa na Wakristo kwenye hizo taasisi lakini ni vitendo vya stand alone individual leaders, hawakutumwa na kanisa lolote kuwadhulumu Waislamu!. please dont drag the entire church kwa vitendo viovu vya individual Christians!.

Ingefanywa ampitute test kupima IQ za Wakristo na Waislamu, mngeshangaa sana!Je, kuna tofauti ya IQ za Watanzania kutokana na dini zao? Kuna dini wanapasi sana, wanafeli sana, huwa wanabaguliwa na kudhulumiwa?

Naomba tuitumie Zanzibar ambayo ni muslim dominated for sampling Inawezekana Vipi Zanzibar Kuna Div I, Div II, na Div III Chache, Ila Div IV na Div Zero Nyingi?!. hizi mass failure huku pia Waislamu wanahujumiwa na kanisa?.

niliwahi kuuliza humu,Je, kuna uhusiano kati ya IQ, Dini ya mtu na Longevity? Naomba kuwatumia Marais wa Tanzania kama Sampling

Na mwisho nikiri kuna Waislamu wengi ni ma genius, Tambaza tulikuwa na Mustafa Kudra, darasani kwetu tulikuwa na Nia Sudi, Issa Juma na Mwinyimvua.

Mwisho niliwahi kushauri Waislamu mliofanikiwa kwa Elimu ya Shule za Mission badala ya Madrasa kuweni na Shukrani kwa Wakristo waliowafikisha hapo mlipo
P
 
Mzee wa kitimoto Pascal Mayalla enzi hizo ulikuwa RTD?
Yes nilikuwa RTD nimeishafanya kazi miaka mitatu, hili vuguvugu la muslim fundamentalism pia liliikumba RTD, Mkurugenzi alikuwa David Wakati, Mkristu, CP ”controller of programs”, Sulemam Hegga, Muislam fundamentalist. Muslim fundamentalists wakaanzisha BALUKTA kuipinga Bakwata, Hegga akaruhusu BALUKTA kuleta vipindi vya dini ya Kiislam RTD, alongside BAKWATA . MUfti Sheikh Mkuu, Hemed Bin Jumaa Bin Hemed, alikuwa mtu rahim sana, huku fundamentalist wakimtumia Sheikh Kassim Bin Juma. Huku BAKWATA huku BALUKTA, RTD moto uliwaka, kwanza Hegga aling'olewa, kisha Wakati nae akaondolewa, vipindi vya BALUKTA vikasitishwa.
P
 
Yes nilikuwa RTD nimeishafanya kazi miaka mitatu, hili vuguvugu la muslim fundamentalism pia liliikumba RTD, Mkurugenzi alikuwa David Wakati, Mkristu, CP ”controller of programs”, Sulemam Hegga, Muislam fundamentalist. Muslim fundamentalists wakaanzisha BALUKTA kuipinga Bakwata, Hegga akaruhusu BALUKTA kuleta vipindi vya dini ya Kiislam RTD, alongside BAKWATA . MUfti Sheikh Mkuu, Hemed Bin Jumaa Bin Hemed, alikuwa mtu rahim sana, huku fundamentalist wakimtumia Sheikh Kassim Bin Juma. Huku BAKWATA huku BALUKTA, RTD moto uliwaka, kwanza Hegga aling'olewa, kisha Wakati nae akaondolewa, vipindi vya BALUKTA vikasitishwa.
P
Nimekuja kuisoma mahala hii, Mzee Suleiman Hegga aliishitaki BALUKTA kwa serikali ya Mwinyi kuwa inataka kuvunja Amani ya Nchi

Suruali fupi wa BALUKTA akiwemo Mohamed Said waling'aka sana
 
Nimesoma hadi mwisho nilichoambulia ni hekaya zilezile.
Hivi unaposema sema "kanisa" huwa unamanish nini?
 
Back
Top Bottom