Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
- Thread starter
- #21
Inside 10,
''Kanisa Katoliki Bukoba liliteua wagombea wake wenyewe wapambane wa wagombea Waislam walioteuliwa na TANU kugombea nafasi katika uchaguzi wa serikali za mitaa.
Kanisa lilisema limeweka wagombea wake binafsi kwa kuwa wana elimu kupita wagombea wa TANU Waislam.
Kampeni kama hii ilifanyika vilevile Kigoma.''
Hii ilikuwa 1963.
Unaweza kupata taarifa zaidi katika vitabu hivyo hapo chini ingawa kwa sasa vitabu hivyo vimeondolewa sokoni kimya kimya kwa hofu ya yale yaliyokuwa ndani ya vitabu hivyo:
''Kanisa Katoliki Bukoba liliteua wagombea wake wenyewe wapambane wa wagombea Waislam walioteuliwa na TANU kugombea nafasi katika uchaguzi wa serikali za mitaa.
Kanisa lilisema limeweka wagombea wake binafsi kwa kuwa wana elimu kupita wagombea wa TANU Waislam.
Kampeni kama hii ilifanyika vilevile Kigoma.''
Hii ilikuwa 1963.
Unaweza kupata taarifa zaidi katika vitabu hivyo hapo chini ingawa kwa sasa vitabu hivyo vimeondolewa sokoni kimya kimya kwa hofu ya yale yaliyokuwa ndani ya vitabu hivyo: