Maandamano ya Kwanza ya Waislam Dhidi ya Serikali ya Tanzania 1993

Maandamano ya Kwanza ya Waislam Dhidi ya Serikali ya Tanzania 1993

Inside 10,

''Kanisa Katoliki Bukoba liliteua wagombea wake wenyewe wapambane wa wagombea Waislam walioteuliwa na TANU kugombea nafasi katika uchaguzi wa serikali za mitaa.

Kanisa lilisema limeweka wagombea wake binafsi kwa kuwa wana elimu kupita wagombea wa TANU Waislam.

Kampeni kama hii ilifanyika vilevile Kigoma.''

Hii ilikuwa 1963.

Unaweza kupata taarifa zaidi katika vitabu hivyo hapo chini ingawa kwa sasa vitabu hivyo vimeondolewa sokoni kimya kimya kwa hofu ya yale yaliyokuwa ndani ya vitabu hivyo:

1728361316814.jpeg

1728361363068.jpeg
 
Yes nilikuwa RTD nimeishafanya kazi miaka mitatu, hili vuguvugu la muslim fundamentalism pia liliikumba RTD, Mkurugenzi alikuwa David Wakati, Mkristu, CP ”controller of programs”, Sulemam Hegga, Muislam fundamentalist. Muslim fundamentalists wakaanzisha BALUKTA kuipinga Bakwata, Hegga akaruhusu BALUKTA kuleta vipindi vya dini ya Kiislam RTD, alongside BAKWATA . MUfti Sheikh Mkuu, Hemed Bin Jumaa Bin Hemed, alikuwa mtu rahim sana, huku fundamentalist wakimtumia Sheikh Kassim Bin Juma. Huku BAKWATA huku BALUKTA, RTD moto uliwaka, kwanza Hegga aling'olewa, kisha Wakati nae akaondolewa, vipindi vya BALUKTA vikasitishwa.
P
Dah!....kazi kweli kweli ilikuwa..
 
Inside 10,

''Kanisa Katoliki Bukoba liliteua wagombea wake wenyewe wapambane wa wagombea Waislam walioteuliwa na TANU kugombea nafasi katika uchaguzi wa serikali za mitaa.

Kanisa lilisema limeweka wagombea wake binafsi kwa kuwa wana elimu kupita wagombea wa TANU Waislam.

Kampeni kama hii ilifanyika vilevile Kigoma.''

Hii ilikuwa 1963.

Unaweza kupata taarifa zaidi katika vitabu hivyo hapo chini ingawa kwa sasa vitabu hivyo vimeondolewa sokoni kimya kimya kwa hofu ya yale yaliyokuwa ndani ya vitabu hivyo:

View attachment 3118398
softcopy hatupati hizi mzee wangu?
 
Mzee Mohamed Said hajawahi popote kukielezea hiki kisa wala kuitaja BALUKTA ila anaelezea sana kuvunjwa kwa EAMWS na kuundwa BAKWATA.
Proved,


''The Minister of Home Affairs and Deputy Prime Minister Augustine Mrema, issued a statement saying that he was convinced the act was precipitated by an outside Muslim power to destabilise the country.

The Secretary General of the CCM Horace Kolimba giving the position of the party said that those who attacked the butcheries were not Muslims but hooligans whose aim was to overthrow the government.

It was not explained how unarmed ‘imam hooligans’ could overthrow a government. A total of 40 Muslims activists including Muslim Bible scholars were arrested.

Among those arrested was Salum Khamis the Chairman of Baraza Kuu (a rival Muslim organisation formed by Muslims to counter BAKWATA), Sheikh Yahya Hussein Chairman of BALUKTA (Tanzania Council of Qur’an Reading) and Sheikh Salum Rajab leader of the Ansar.

Sheikh Salum Rajab was arrested on charges of bomb making.

The news of the arrests of Muslims by the state security agents triggered Muslim anger.''
 
Kumbe hadi leo hii tunakula KITIMOTO kwa amani hivi kuna watu waliteseka sana?
 
Back
Top Bottom