Maandamano ya raia Ufaransa yanafanana na yale katika tawala za kiimla kama Iran?

Maandamano ya raia Ufaransa yanafanana na yale katika tawala za kiimla kama Iran?

Hakuna jeshi lolote lilitumwa mtaani huko Ufaransa kama Revolutionary Guard ilivyotumwa mtaani Iran kuua raia.

Morsi na wenzako waliohusika katika maandamano ndio walivuragana wakawapa jeshi fursa ya kuingilia kati. Maandamano ya kumuondoa Shah na ya kumuondoa Mubarak yanafanana kwa maana yote yalikuwa kuondoa madikteta na kupanua wigo wa uhuru wa wananchi lakini mwishowe wakapoteza kwa madikteta wengine wapya.
Maandamano sio shida shida ni kupigwa waandamanaji. Hiyo haifai iwe imetokea Ufaransa au Irani au kokote kule. Kwa nini jeshi liwapige watu wanaoandamana bila silaha kwa amani!?

Tulitegemea hilo tulione kwa mapioneer wa demokrasia na uhuru wa kujieleza duniani. France & Co. Imekuwa ni kinyume chake na badala yake badala ya kukemea kama mnavyokemeaga kokote kule yanapotokea mnatafuta namna ya kuhalalisha.

Mapinduzi ya Irani hayana yanachofanana na mapinduzi ya Misri. Ukilazimisha kuyafananisha unaonekana hujui kitu. Na baada ya kuondolewa mubaarak hakufuata Al sisi ila Morsi. Na morsi hakuwekwa na jeshi bali uchaguzi mkuu. Alipoondolewa Morsi kwa maandamano ndipo jeshi likachukua nchi chini ya jenerali al sisi na baada ya muda ukafanyika uchaguzi na al sisi akaushinda. Na wala Al sisi sio dikteta as far as westerners are concerned!
 
Hakuna jeshi lolote lilitumwa mtaani huko Ufaransa kama Revolutionary Guard ilivyotumwa mtaani Iran kuua raia.

Morsi na wenzako waliohusika katika maandamano ndio walivuragana wakawapa jeshi fursa ya kuingilia kati. Maandamano ya kumuondoa Shah na ya kumuondoa Mubarak yanafanana kwa maana yote yalikuwa kuondoa madikteta na kupanua wigo wa uhuru wa wananchi lakini mwishowe wakapoteza kwa madikteta wengine wapya.
Leta ushahidi wa unacho kisema kwenye maandamano ya sasa jeshi halikuhusika kukabiliana na waandamanaji.
 
Unaweza Kuwa Shabiki ukawa Na Mpumbavu usie Jitambua
Kinacho zungumzwa ni Nguvu inayo tumia Ufaransa dhidi ya Raia
Hatusikii Uk,Us wakitoa Matamko dhidi ya Serikali ya Ufaransa
Hatusikii Haki za Binadamu kukemea hilo

View attachment 2567445View attachment 2567446



Hebu Niambie Umri wa Mzee kamaa huyu Kweli wakuburuzwa hivi?
Hili lingetokea Urusi,China au Africa nini Kingejiri
Wewe na Wapuuzi wenzie mngelikuwa Wakwanza Kuropoka kila Aina ya Utumbo humu

View attachment 2567449
Screenshot_20230327-211424.png

Wakati serikali yako dhalimu ikimtawanya kwa bomu huyu mwandishi ulikuwa kimya ila kibabu kizee cha kizungu kimetolewa damu kidogo tu unapayuka mpaka taya zinataka kutoka
 
Back
Top Bottom