Uchaguzi 2020 Maandamano ya tarehe 2 Nov: Je, Ni Demokrasia au waliokosa wanapigania Maslahi Binafsi?

Uchaguzi 2020 Maandamano ya tarehe 2 Nov: Je, Ni Demokrasia au waliokosa wanapigania Maslahi Binafsi?

Hatuandamani ili kupiga picha. Tunaandamana ili kupinga udhalimu. Vyovyote vile, ni lazima kama binadamu tuliopewa akili na Mungu tupinge udhalimu kwa namna zote.
Hapana picha ni kwaajili ya kutuonesha sie tulio mbali na upeo wa macho yenu,

Tupo pamoja.
 
US na UK wamejipanga kuhakikisha uhuni unakomeshwa. Watahakikisha JPM anaondoka Ikulu. Just a Matter of time
 
Tafadhari usiseme wananchi wameamua. Sema TISS na NEC

Wananchi wameamua, hawataki kusikia mtu yoyote zaidi ya Mzee baba jembe letu John Pombe Magufuli

Kujua msimamo wa league cheki kilichomkuta zito huko IG

20201031_001337.jpg
20201031_001407.jpg
20201031_001453.jpg
20201031_001519.jpg
20201031_001558.jpg

Cc jijiletublog alubati Crimea magu2016 Amani Msumari innocent dependent NAWATAFUNA Bia yetu Stephano Mgendanyi AGITATOR cocochanel T2020JPM Naby Keita Ndebile Dam55
 
Wacha nisubiri kesho kuona jinsi Polisi watakavyokuwa standby kuzuia maandamano hewa.
Msitegemee huyo dictator uchwara atarudisha mtandao na huku mnataka kuandamana, tunzeni VPN Zenu vizuri. Na 2025 Anagombea tena tusipomfunga brake now.
 
Sawa,Mr sabas anawasubiri....
Sawa,Mr sabas anawasubiri....
Sabas ni nani? Tatizo letu mpaka taasisi zetu za dola wanaongea ujinga wa watawala wa kisiasa! Wao kazi yao ni kuhakikisha maandamano yanafanyika kwa amani! Bahati mbaya nao wameisha jiingiza ktk siasa za watawala! Wakati ukifika mtaondolewa nao madarakani!
 
Andika takataka ndeeefuuu..ila kila mtu anandaamana kutokana na alichokiona

Wizi nimeona mbele ya macho yangu

Hayo maslahi binafsi siyatambui..kila mtu ana conviction yake...

Nyie pia mna maslahi yenu binafsi kwa kuiba kura ...msiletee hoja ya kipumbavu ya "maslahi binafsi".....

I better die kwa huu wizi niliooona!

Kama ni maslahi binafsi then fvck you big time!
We andamana tu lakini sie hatuandamani na wala hatuamini katika hilo sie ni amani tu
 
Bro me nakuaminia, inyeshe mvua liwake jua, kesho ni kesho,
Sema nini? siache kutupia picha za maandamano hiyo kesho.
Kesho mkuu selfie za kutosha zitakufikia. Hawa dhulumati CCM hatutaki kuwaacha wajimwambafai. Eti hata mcheza ngono Gwajima anakuwa mbunge???
 
Sabas ni nani? Tatizo letu mpaka taasisi zetu za dola wanaongea ujinga wa watawala wa kisiasa! Wao kazi yao ni kuhakikisha maandamano yanafanyika kwa amani! Bahati mbaya nao wameisha jiingiza ktk siasa za watawala! Wakati ukifika mtaondolewa nao madarakani!
Sawa, huo wakati utafika lini? Huo wakati wa kuondoka madarakani na kama wakati huo bado kwanini msikae kwa kutulia, hayo maandamano si mtaumia tu bure, msubiri wakati wenu ufike.
 
Msitegemee huyo dictator uchwara atarudisha mtandao na huku mnataka kuandamana, tunzeni VPN Zenu vizuri. Na 2025 Anagombea tena tusipomfunga brake now.
2025 hakutakuwepo na uchaguzi maana ifikapo 2023 Katiba itabadilishwa ili JPM atawale maisha yake yote.

Hata hivyo nchi itaendelea sana na wananchi watauaga umasikini.

2020-2030 is a decade of grace to the Tanzanians.
 
Binafsi uumwandishi mzuri sema bado una story zile za karne ya 18 zakusadikika, ukisema wanatumiwa, tumika bila kuwa na fact au uthibitisho juu na hiki unakuwa unakosea

Mkuu nikukumbushe hii ni karne ya 21 kila kitu ni evidence's
 
2025 hakutakuwepo na uchaguzi maana ifikapo 2023 Katiba itabadilishwa ili JPM atawale maisha yake yote.

Hata hivyo nchi itaendelea sana na wananchi watauaga umasikini.

2020-2030 is a decade of grace to the Tanzanians.

Dare to know👍
 
Back
Top Bottom