Vichekesho
Member
- Jun 20, 2024
- 66
- 3,277
Hakuna fala wa kuacha shughuli zake akuandamanie wewe kibaraka wa Wazungu.Kwa jinsi hali ya mambo inavyokwenda, napendekeza kuwa wananchi wote wa TANGANYIKA tuandamane tarehe 23 kwa utaratibu huu.
1. Tumchangie nauli dada yetu Mange Kimambi aje nchini kuongoza maandamano.
2. Nyuma yake afuate Mbowe, Lissu, Mnyika na viongozi wa ngazi za juu.
3. Nyuma yao wafuate watoto wao.
4. Halafu kwa nyuma tufuate watanganyika wote.
Hii itasaidia sana maana polisi wataogopa kufyatua risasi, vinginevyo watu watauawa sana.
Mwisho: Mwakani CCM iweke candidate mwenye akili.
Ss wenyw atumtaki uyo kwan yy nnan watanganyika atutak mamluk wa nje tunaandamana syo kwa lazmishwa na mtu n ss tumeamuaKwa jinsi hali ya mambo inavyokwenda, napendekeza kuwa wananchi wote wa TANGANYIKA tuandamane tarehe 23 kwa utaratibu huu.
1. Tumchangie nauli dada yetu Mange Kimambi aje nchini kuongoza maandamano.
2. Nyuma yake afuate Mbowe, Lissu, Mnyika na viongozi wa ngazi za juu.
3. Nyuma yao wafuate watoto wao.
4. Halafu kwa nyuma tufuate watanganyika wote.
Hii itasaidia sana maana polisi wataogopa kufyatua risasi, vinginevyo watu watauawa sana.
Mwisho: Mwakani CCM iweke candidate mwenye akili.
Huna akiliKwa jinsi hali ya mambo inavyokwenda, napendekeza kuwa wananchi wote wa TANGANYIKA tuandamane tarehe 23 kwa utaratibu huu.
1. Tumchangie nauli dada yetu Mange Kimambi aje nchini kuongoza maandamano.
2. Nyuma yake afuate Mbowe, Lissu, Mnyika na viongozi wa ngazi za juu.
3. Nyuma yao wafuate watoto wao.
4. Halafu kwa nyuma tufuate watanganyika wote.
Hii itasaidia sana maana polisi wataogopa kufyatua risasi, vinginevyo watu watauawa sana.
Mwisho: Mwakani CCM iweke candidate mwenye akili.
tuonyeshe wewe mwenye akiliHuna akili