kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Cha kwanza ni kuiba ule mwenge pili kumtafuta yule betina mwenye kusimamia mijadala mibovu bungeni!East Africa uprising wakenya wameanza sasa ni zamu yetu
Hongera wakenya mmeonyesha nguvu ya umma
Inakuwaje wananchi hawasikilizwi
Nadhani ni zamu yetu kwenda kumchomoa betina

