kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Cha kwanza ni kuiba ule mwenge pili kumtafuta yule betina mwenye kusimamia mijadala mibovu bungeni!East Africa uprising wakenya wameanza sasa ni zamu yetu
Hongera wakenya mmeonyesha nguvu ya umma
Inakuwaje wananchi hawasikilizwi
Nadhani ni zamu yetu kwenda kumchomoa betina
nipo nyeri,Umetumwa na ubalozi wa Kenya.
Hata hivyo umefikisha ujumbe vyema
sure,Ni kama vile hofu imekutawala! Muwashukuru policcm. Kinyume na hapo, shughuli ingekuwa ni pevu kwa upande wenu.
Tena kama wewe na lucas mwashambwa ndio tutawabaka kabisa.akina nani hao?
waandamanaji majambazi, waporaji au?
imeisha ghafla sana,Mpaka sasa
Kipindi Cha kwanza
Generation Z 2-0 Kenya government.
Umeona mbali chawa anatetemeka.Ni kama vile hofu imekutawala! Muwashukuru policcm. Kinyume na hapo, shughuli ingekuwa ni pevu kwa upande wenu.
gentleman,Mfano mdogo tu kwenye finance bill yetu naomba aliesoma akaielewa anielemishe mpango mkakati uilopo kuongeza pato la nchi effectively kupitia
1. Hifadhi za kitalii
2. Madini
3. Gesi
4. Maziwa
5. Bahari
6. Makamaa ya mawe
7. Misitu
8. Ardhi iliyopo hasa fertile land
9. Nchi kukaa sehemu ya kimkakati ina uwezo wa kuhudumia nchi 6 za land lockwd countries kuzalisha matrilion ya shilingi.
Naomba kujua kama vina msukumo wa kutosha, tofauti na kukandamizia focus kwenye tozo na kodi kwa wananchi.