kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 10,406
- 19,892
Nimebubujikwa na machozi ya furaha kwa hii comment yakoNaipongeza serikali ya CCM kwa kuendeleza Umoja na Mshikamano, matunda tunayaona
Matunda ni pamoja na vijana hawaoni sababu ya kuandamana, vijana hawaoni sababu ya kujikwamua kutotka ktk matatizo yanayo wahusu bali ni mafundi wa kuelezea matatizo ya wengine š