LUS0MYA
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 866
- 1,109
Hakuna kitu kibaya cha kuzuia zuia uhuru wa watu wenye mawazo mbadala kwani ni mara chache sana ndani ya serikali kujua vitu hasi kwani watendaji huona kama ni uzembe wao kwa mamlaka...hii zuia zuia inaweza kufika mahali ambapo hali halisi itajulikana kwa mamlaka wakati muda wa kujisahihisha unakuwa haupo....